Recent content by Luv

  1. Luv

    Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

    Biashara ya jumla Ina faida kidogo kuliko ya rejareja. Kinachofanya iwe nzuri ni kama kutakuwa na mzunguko mkubwa.
  2. Luv

    Waraka kwa Watanzania Wote: Amkeni

    Siku ukiandika waraka nitag mkuu.
  3. Luv

    Laini za uwakala

    Weka Bei yako mkuu nione
  4. Luv

    Wakuu ushauri wenu ni muhimu, nimefilisika

    Utasimama Tena, kupanda na kushuka ni kawaida kwenye maisha
  5. Luv

    Nilimuonya akakana katu, leo kajikamatisha mwenyewe

    Tusubiri kukucha awashe simu kwanza.
  6. Luv

    Mwamba aliewaliza Wazungu kwa Mgodi feki wa Dhahabu Geita

    Punguza tangawizi ni nyingi mno, ongeza mchaichai na mdalasini
  7. Luv

    Leo dola moja ni sawa na 2290. Kweli uchumi unakuwa

    Hii Sasa balaa.....so inawezekana pia ikafika 2700
  8. Luv

    Umepanga kuzaa watoto wangapi?

    Wanne ila Hadi Sasa wawili.....In Shaa Allah wawili watakuja pia.
  9. Luv

    Mfanyabiashara mwenye Uhitaji wa Frem na Una Mtaji

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  10. Luv

    Natafuta mnununuzi wa Mahindi

    Huna sehemu ya kuyahifadhi au una changamoto inayohitaji pesa? Kama unapata sehemu ya kuhifadhi na huna changamoto ya kifedha, nakushauri yaweke dawa uyahifadhi uje uuze Bei nzuri mwezi wa kwanza au wa pili.
Back
Top Bottom