kumbe sijaona huwa ni mdogo wake mimi nikisikia anaitwa sijaona mizanza najuwa ni mtoto wa mzee mizanza kumbe sivyo yeye sijaona yupo mitaa hiyo uliyo itata yeye na mabinti hakuna mwanamke Geita asiemjua SIJAONA MIZANZA
Wanadai wamepokea barua kutoka makao makuu ya CUF ikiwaelekeza kufanya hivyo na kumuzuia mgombea ubunge jimbo la Geita mjini ndungu ROGERS LUHEGA kupeperusha bendera yao kwenye gari lake lakini kinachonipa shida kufikiri hawa jamaa mfano jimbo la Geita hawana hata mtaa, je lengo lao nini?
Mwekezaji mmoja wa kizungu aliewekeza katika kampuni ya kuchenjua dhahabu huko geita katika kata ya lwamgasa amemtapeli mzawa waliyeungana nae katika kazi hiyo kwa kufunga mkataba hewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.