Naomba kuuliza katika utawala je Rais huwa HAKOSEI?
Je, Rais anaweza kuwa na ushawishi wowote wenye nguvu kuingiza nchi kwenye mikataba isiyo na tija Kwa nchi?
Je, Rais anaweza kuamua Jambo lolote kwenye mihimili mingine na asifanywe chochote?
Je, Rais anaweza kuisigina katiba na chama chake...