Recent content by lutemi

  1. lutemi

    Kesi ya Tundu LISU imekupa fundisho gani na kama angekuwa Rais wa Tanganyika kungekuwa na utawala upi bora?

    ### Mambo makuu kumi ambayo kesi ya Tundu Lissu imenifundisha kama Mtanganyika: 1. Udhaifu wa mihimili ya serikali: Kesi hii inaonyesha jinsi polisi, mahakama na upande wa mashtaka vinavyoweza kutumika kisiasa badala ya kutenda haki. 2. Ukandamizaji wa kisiasa: Mashtaka ya uhaini yanatumiwa...
  2. lutemi

    The Five Core Qualities of a Wise and Knowledgeable Leader

    1. He gauges the wind of his acceptance – He knows exactly when the people’s support is fading and steps down with dignity before he is rejected or humiliated. 2. He listens to the voices of the despised and marginalized – He gives attention and platform to the poor, the voiceless, and the...
  3. lutemi

    The Voice of the People: A Divine Mandate for Leaders – A Message to Mama Samia"

    "The Voice of the People: A Divine Mandate for Leaders – A Message to Mama Samia" Key Scripture: Proverbs 29:2 – “When the righteous are in authority, the people rejoice; but when a wicked man rules, the people groan.” James 5:1-5 – “Come now, you rich, weep and howl for your miseries that...
  4. lutemi

    PostGE2025 Polisi: Gwajima, Golugwa, Brenda Rupia, Lema, Mahinyila na Mnyika wajisalimishe katika vituo vya Polisi

    Nashauri tu. Nchi inatafutwa ki uchumi ili isiaminike na BAHATI mbaya viongozi hawatafakari Hilo au kuna mmoja wao ambae anatumiwa kuchochea ili uchumi wetu udolole fedha isiwe na thamani Tanzania lisiwe lango tena, nahisi kwamba kuna watu wapo kwenye system sio Raia wa Tanzania hebu jiulize...
  5. lutemi

    Askofu Gwajima alikuwa Mwanamkakati wa Lowassa na Magufuli

    Wale ambao sio Chaguo la mama mjitafakari mtakatwa sana. You better quiet the game before hujakatwa
  6. lutemi

    Rais Samia hii ndiyo faida ya No Reforms No Election

    MHESHIMIWA RAIS MUNGU AKIKUPA NAFASI HUWA HAIJIRUDII MARA MBILI na KUMBUKA kwamba anataka wakati wote utumie uta wala wako kwa hekima. 1. Ipe ZANZIBAR UHURU KAMILI kwa kuandika KATIBA ambayo uliisimamia (Zanzibar una wajukuu zako, una makaburi ya ndugu zako, Mila na desturi zote zipo ZANZIBAR)...
  7. lutemi

    Mikiki ya kisiasa imeathiri sana mood ya Rais Samia, hayo yameonekana jana huko Songea

    Mtazamo wangu wa hiki Kinachoendelea naona kinaratibiwa na CCM wenyewe na wamefanikiwa sana kumchonganisha na wananchi. Kama Rais angepata uweredi kidogo wa kuwasikiliza Wapinzani tangu awali nakuhakikishia angependwa kuliko mtangulizi wake. Hajui ndani ya chama chake wanamtengenezea zengwe...
  8. lutemi

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Katika mambo ambayo CCM 2025 hawapaswi kamwe kukosea ni kumrejesha Rais huyu madarakani 1. Kwanza Tanzania bado tunatawaliwa na mfumo dume kiasi kwamba hata ndani ya CCM wenyewe hawapo tayari kumwongezea miaka na wapo wengi tayari kumchagua hata upinzani maadamu ni jinsia ya kiume . 2. Wengi...
  9. lutemi

    Lissu anajitangaza kugombea uraisi kupitia Chadema kama nani , taratibu zikoje?

    Kwanini watu mnashida ya kusema ukweli hivi mnasukumwa na nini hasa, ina maana unashida ya masikio au unajikata ufahamu au uchawa?. Lisu amesema akipewa ridhaa na chama chake bado dhamira ipo sasa amejitangazia?
  10. lutemi

    "2025 Waziri Yupi unatamani asirudi kwenye Kiti

    Kwani CCM itashinda?
  11. lutemi

    Rais hakosei?

    Nimeogopa Sana. Hii ni hatari Sana Hivi hakuna kiongozi yeyote au vyombo vya ulinzi na usalama wanao weza kuitazama nchi na kusimamia Kwa mashauri mazuri?
  12. lutemi

    Rais hakosei?

    Naomba kuuliza katika utawala je Rais huwa HAKOSEI? Je, Rais anaweza kuwa na ushawishi wowote wenye nguvu kuingiza nchi kwenye mikataba isiyo na tija Kwa nchi? Je, Rais anaweza kuamua Jambo lolote kwenye mihimili mingine na asifanywe chochote? Je, Rais anaweza kuisigina katiba na chama chake...
  13. lutemi

    Swali kwa wanawake wajawazito na waliopita kipindi cha ujauzito

    Mruhusu mmeo akirudi awe na tabia ya kuimba nyimbo za dini huku amefunua nguo yako na tumbo lako likiwa wazi yaani anamsikilizisha . Ruhusu mmeo awe anaongea na mtoto mfano mwanangu Baba nimerudi tucheze kidogo mfano nyimbo za baby shark nk..... Ruhusu mmeo awe anaoga na Wewe anaosha tumbo lako...
  14. lutemi

    Ni kweli Kiarabu ndio lugha pekee ya Peponi?

    Pepo ya majini labda
  15. lutemi

    Kwanini wabunge wasipewe mafao wakiwa na miaka 60?

    Salamu Naomba kujua ikiwa wabunge wakatwa pay as you earn (PAYE) Naomba kujua kama wabunge wanachangia mifuko ya NSSF(national social security fund) Naomba kujua wabunge wanachukua hizo fedha yaani kiinua mgongo baada ya muda gani na kwanini wasipewe baada ya kutimiza miaka sitini?
Back
Top Bottom