lutemi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 1,743
- 1,379
Salamu
Naomba kujua ikiwa wabunge wakatwa pay as you earn (PAYE)
Naomba kujua kama wabunge wanachangia mifuko ya NSSF(national social security fund)
Naomba kujua wabunge wanachukua hizo fedha yaani kiinua mgongo baada ya muda gani na kwanini wasipewe baada ya kutimiza miaka sitini?
Naomba kujua ikiwa wabunge wakatwa pay as you earn (PAYE)
Naomba kujua kama wabunge wanachangia mifuko ya NSSF(national social security fund)
Naomba kujua wabunge wanachukua hizo fedha yaani kiinua mgongo baada ya muda gani na kwanini wasipewe baada ya kutimiza miaka sitini?