Recent content by lutajangurwa

  1. L

    JamiiForums Tanzania Vijana wapo bize kupiga porojo wenye akili wanapiga pasi nguo kwenda msibani kwa Membe

    Kumbe wengi hawajui enzi hizi ni za technical know who na siyo technical know how
  2. L

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya kiroho Kenya, Tanzania tuko hatarini

    Mimi nakubali andiko lako, uko vizuri. Lakini ukiona serikali iko kimya, kuna namna walio madarakani wanavyofaidika. Nashauri wasomaji wafuatilie stories ya GOLD MAFIA vizuri. Utauona ushiriki wa Uebert Angel [emoji116] Balozi wa juu wa Zimbabwe anayehusika katika mpango wa magendo ya dhahabu...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Ukarabati 7.5B, Magogoni twende Kwa Facts! Mnaobisha Njooni Mnijibu

    ••••Mwaka kesho uchaguzi Serikali za Mitaa, mwaka ufuatao uchaguzi mkuu. Haya mambo yanataka maandalizi mapema••••tumieni akili jamani
  4. L

    JamiiForums Tanzania Chalamila amesema watu wa Kagera wanaongoza kwa fitina na majungu kuliko mikoa yote

    Mshono wa hivi karibuni, ni kupiga marufuku kutumia viwanja vya Bukoba Club. The only open space in Bukoba Municipal (sic).....ila viingereza navyo, ona mpaka nimejisahau ....
  5. L

    JamiiForums Tanzania Marafiki wengi wa Anthony Mtaka ni wanachadema, akiacha arrogance (ujivuni/ujuaji) ni kiongozi mzuri

    Wewe usitake kuficha racket yako ya kuchakachua mbolea na utapeli wako kwa wakulima wa parachichi kwa kumchafua RC. MMEUMBUKA. Sasa unaona kimekulalia unaanza kumchafua baba wa watu
  6. L

    JamiiForums Tanzania Hamisi Taletale na PhD ya USD 2,500

    Hii "AMERRICAN" University kwenye cheti cha babu Tale iko nchi gani?
  7. L

    JamiiForums Tanzania Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

    Yote kwa yote, yule RPC wa sasa wa Mwanza, former mkuu wa Kikosi cha Usalama barabarani, alikuwa anafanya kazi nzuri. Huyu wa sasa yawezekana ana compliance kiaina.
  8. L

    JamiiForums Tanzania Nimepanda basi toka Dar kwenda Mwanza kukiwasha japo kwa shingo upande

    Wasanii kuweni makini. Huu unaweza kuwa mwanzi wa mwisho wenu
  9. L

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Bodaboda wawili wafariki dunia kwa kugongwa na Lori

    Tanzania hatuna freeway ndugu.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Sababu za wanafunzi wa kizazi hiki kufeli masomo ni hizi hapa

    Hivi mnatambua kwamba mitihani ya kubet hata SUA Chuo kikuu ipo mpaka ngazi ya masters?
  11. L

    JamiiForums Tanzania Mabishano kati ya medical professionals yanayolenga interests za mgonjwa ni jambo la kawaida na ni ethical

    Na kwa kusema ukweli, expiry date huwa ina plus na minus. Most likely tarehe ya ku-expire huwa inaiacha item/reagent ikiwa na ubora wa karibia miezi 3 hadi 6. Hii period inaitwa" dispensing date" . Kwa hiyo siyo kwamba siku tarehe inapofika, palepale dawa au reagent inakuwa useless. No...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Familia nzima yawa Watawa

    Familia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  13. L

    JamiiForums Tanzania Profesa Nonga: Vifaranga 62,730 kutoka Ubelgiji vilivyokamatwa JNIA vyote vimefia Airport

    Asante ndugu. Ila kumbuka vifaranga siyo kama nguo au spea za magari. Ni delicate goods. Unapoagiza lazima uhakikishe njia ni nyeupe, yaani makaratasi yakamilike. Kuagiza vifaranga ni mchakato pia. Lazima uweke booking shambani, ujue siku ya kutotolewa, ujue na chanjo za mwanzo na siku ya...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

    Wewe kaa huko huko wanakofufua wafu. Kaa huko huko usije ukaumwa wakashindwa kukutoa mapepo. Kaa huko huko. Ukakamuliwe na wanaoongea na Mungu kwenye ndoto, wanaotoa pepo na kushindwa kuponya vilema. Kaa huko. Upade huu unaousimanga hauhitaji msaada wako. We nenda huko ukanene lugha zisizo na...
Back
Top Bottom