Recent content by lusuva

  1. L

    Flora Mbasha, amekimbilia mahakama ya hakimu mkazi Kisutu

    naache kuimba nyimbo za injili,anainajisi biblia
  2. L

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema ajiuzulu

    jk kamshukuru kwa uaminifu na uadilifu mtu aliyelitia taifa hasara!!!inatia shaka sana
  3. L

    Wasomi vyuo vikuu Dodoma watoa tamko kuunga mkono tamko la Jumuiya ya Wanazuoni

    kwenye sherehe ya wajinga utakaa high table
  4. L

    Wasomi vyuo vikuu Dodoma watoa tamko kuunga mkono tamko la Jumuiya ya Wanazuoni

    wangekuwa wanangu ningebadilishana na debe moja la pumba wale kuku !!!
  5. L

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    ni mtaa wa mavurunza jamaa anaitwa malima na ukumbi wake ni G5!!vijana wamemfanya kitu mbaya,kula ccm kura cdm
  6. L

    Wasomi vyuo vikuu Dodoma watoa tamko kuunga mkono tamko la Jumuiya ya Wanazuoni

    njaa zitawauwa!!!kodi yangu inasomesha wajinga, nasikitika sana!!
  7. L

    Ajali yaua watatu Bunju B, Dar

    tupia japo kapicha kamoja
  8. L

    Elizabeth Lauten amejiuzulu, profesa Tibaijuka unangoja nini?

    mkuu inawezekana Mwenye nyumba aliogopa kutangazwa!!!kesho si ajabu tungeonyeshwa mashine ya mkulu mtandaoni,na tungeanza kuijadili wengine kubwa wengine ndogo!!!!
  9. L

    KAFULILA: Huwa tunapewa ISSUE za ufisadi kutoka kwa wabunge wa CCM!

    Nani bado anaamini wachaga wezi!!! Muhongo,Maswi,na Warema wote musoma!amang'ana
  10. L

    Kwa Magwiji Waliobobea ktk Sheria za Kanisa Katoliki tu

    ahsante Stanley kwa kunikumbusha!!
  11. L

    Kwa Magwiji Waliobobea ktk Sheria za Kanisa Katoliki tu

    pengo ni askofu mkuu jimbo la dsm hana uwezo wa kumhamisha askofu kwenda jimbo lingine hayo ni mamlaka ya Vatican,kila jimbo Kuu lina askofu wake mfano jimbo kuu la songea(iringa,songea mbeya)lipo chini ya mtega.pengo kuwa mwadhama kardnal haimaanishi yeye ndio boss wa maaskofu kuna nchi nyingi...
Back
Top Bottom