mkuu inawezekana Mwenye nyumba aliogopa kutangazwa!!!kesho si ajabu tungeonyeshwa mashine ya mkulu mtandaoni,na tungeanza kuijadili wengine kubwa wengine ndogo!!!!
pengo ni askofu mkuu jimbo la dsm hana uwezo wa kumhamisha askofu kwenda jimbo lingine hayo ni mamlaka ya Vatican,kila jimbo Kuu lina askofu wake mfano jimbo kuu la songea(iringa,songea mbeya)lipo chini ya mtega.pengo kuwa mwadhama kardnal haimaanishi yeye ndio boss wa maaskofu kuna nchi nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.