Recent content by Lusile

  1. Lusile

    Vivutio vya utalii Tanzania na faida za utalii wa ndani

    Wakati fulani nilikuwa naongea na mmiliki wa kampuni ya utalii kutoka nchini Kenya, akaniambia kwamba kule kwao baada ya kuandamwa na Alshabaab walianzisha kampeni maalum waliyoiita TEMBEA KENYA, Hii kampeni ilianzishwa na serikali yao ili kulinda ajira za wafanyakazi katika sekta ya utalii...
  2. Lusile

    Muigizaji maarufu wa Nollywood afariki dunia

    Bado kifo chake kimeguikwana utata In a latest development, following death rumours regarding popular Nollywood actor, Muna Obiekwe today, the controversial thespian has swiftly moved to debunk the alarming rumours. Obviously infuriated, the Nigerian actor took to Twitter to clear the air just...
  3. Lusile

    Muigizaji maarufu wa Nollywood afariki dunia

    Top Nollywood Actor, Muna Obiekwe Dies Of Kidney Failure Popular Nollywood actor, Muna Obiekwe has passed away after a battle with Kidney failure. The Trent exclusively reports that the actor passed away in the afternoon of Sunday, January 18, 2015 in a hospital in Festac, Lagos. Obiekwe...
  4. Lusile

    Vincent na hukumu ya kunyongwa-ni kweli aliuwa familia yake?

    Namuulizia muandishi wa hizi stori Hivi yuko wapi siku hizi Mzee Mtambuzi?
  5. Lusile

    The Challenge Of Finding Mr. Right

    Sometimes it got me thinking... What does a man need to show to get on any woman's attention? Money, sense of humor, fame, dress sense, good job, intelligence, good diction, good physique, some visible signs of affluence, confidence... Many women are now settling for anything in between MR...
  6. Lusile

    The Challenge Of Finding Mr. Right

    Which language please
  7. Lusile

    The Challenge Of Finding Mr. Right

    It's hard to find a good man nowadays, it is like all good men are taken. If you ever get them they are either married to a lady that does not deserve them or just repenting from a bad marriage from one of such women. Or even just lost faith in the whole marriage thing.
  8. Lusile

    Kinachowaponza Wanawake wengi na kuumizwa mioyo yao ni kitu inaitwa HURUMA!

    sio mbaya kurudishia si ndio kukumbushia jamani
  9. Lusile

    Kinachowaponza Wanawake wengi na kuumizwa mioyo yao ni kitu inaitwa HURUMA!

    Kwa huruma tu hamjambo! Jitu limekutenda weeee,limeuscratch moyo wako kama Vocha,unachoka unaanza mbele maisha yako yaendelee.Ghafla lile jamaa linarudi kama limesahau chenji bar,Anakufuata,analia na machozi kabisa,we unadhani machozi anakulilia wewe kumbe kamkumbuka Bibi yake mzaa shangazi...
  10. Lusile

    Wanawake: Kwa asili wanaume ni watu wa mitala!

    Mh, ndoa ya Mitala kwa karne hii ni ngumu kumeza
  11. Lusile

    Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!

    Hapa ni mwendo wa vimiminika tu Halafu bila kusahau ku dance na LIVE BAND
  12. Lusile

    Natafuta Partner wa kutoka naye siku ya WHITE PARTY!!!!!!!!

    Aliye tayari anijulishe Sitaki PM, wekeni mambo hadharani. Vigezo na masharti kuzingatiwa. Madame B, Paloma, charminglady, Nicole, Kaunga, Kipipi, Asnam, Preta, marejesho, Lisa, nivea, Suprise, naomba muwatie kamba waume zenu zisije katika muda wa majaruhi huu. Nimekuja kuwashika
  13. Lusile

    Mbona yupo makini sana alikuwa ana ambiwa nini?

    Hivi yule jamaa aliyehusika na hii ajali Dumisani Dube amekufa au yuko hai, maana nasikia jamaa alikuwa na siri nzito yule
Back
Top Bottom