ACHANA na VYUO vya PRIVATE,
Nenda VIKINDU chuo cha serikali,
ADA 600,000/=
pia kwa maisha haya private gharama kubwa wakati mshahara watalipwa sawa.
Serikalini ukilipa 600,000=
hakuna tena kulipia hostel wala chakula
huko private hawaivi vizuri na ajira ya sasa tunaanza kuomba hatapata kipaumbele
akili ya mtoto hutengenezwa miezi tisa ya awali tangu kuzaliwa.
Umri ule mtoto akipata lishe bora kama minofu ya samaki, maziwa halisi ya mbuzi au ng'ombe
Na baada ya hapo mtoto aendelee kupata lishe bora katika kipindi chote cha ukuaji
yule ja
yule jamaa ni muongo sana, hivi watu wanataka kumuhonga kwanini hakukubali ili awakamatishe kwenye vyombo vya dola?
kwa nini anawalea watoa rushwa na yeye anasema mpiga vita ya rushwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.