Recent content by lup

  1. lup

    Maswali ya Mwanangu kwa Mama yake yamenishtua!

    hili ndio swali sahihi
  2. lup

    Wanawake mnakwama wapi?

    copy and paste
  3. lup

    Mwenye ushahidi kuwa “single mothers” wakishaolewa huwa wanapasha kiporo na wazazi wenzao aulete hapa

    penda mtoto wake tu yeye atafata kama mbuzi anavyofata mtoto
  4. lup

    Mume serious anahitajika

    una maanisha kweli au ni wale wale??
  5. lup

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    rekebisha hapo ni 2021 mkuu sio 2020 au ulikuwa na maana ya mwaka jana??
  6. lup

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    kwani alikuumiza mkuu maana umeongea mazito sana aisee
  7. lup

    Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

    https://www.jamiiforums.com/threads/rais-anapofia-madarakani-utaratibu-ni-upi-kwa-sheria-za-nchi-yetu.1489418/
  8. lup

    Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

    Nimeukumbuka huu uzi ghafla aisee.
  9. lup

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    hata mimi ninahuzuni sana ila imenifanya nifikilie sana kwa wimbo huo.... labda una maombolezo ndani yake,
  10. lup

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    Muda sio mrefu uliopita, mama SAMIA, ametoka kutangaza kuwa Rais wetu ametuacha kwa maana amefariki dunia.... lakini baada ya kurudia matangazo hayo, mnaweka nyimbo ya tumeuona mkono wake Bwana kwa sehemu yangu nimeshidwa kuelewa maana nillitegemea baada ya matangazo ya msiba wimbo wa kwanza...
Back
Top Bottom