Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
1.Uhusiano wa single mother na mwanaume aliye zaa nae hauwezi kufa kwa sababu bado anatembea na damu yake.
2.Kipaumbele kikubwa katika mahusiano na single mother ni mwanae cha pili yeye cha tatu ni yeye hivvyo lolote linalofanyika ndani ya mahusiano mtu wake wa kwanza kumwangalia ni mwanae.
3.Katika uchumba single mothers wengi mara nyingi huwa hawapendi ndugu wa mwanaume wajue kama ana mtoto mpka mmeingia kwenye ndoa hivyo hili jambo anataka liwe siri.
4.Mnapokuwa katika uchumba single mother hawapo tiyali kwa sex wala kuzaa nae wewe hadi ndoa au utakapomtolea mahali lakini hapo hapo mzazi mwenzie hawezi kumyima papuchi na hata kuzaa nae tena yupo tiyali.
5.Unapooa single mother ndoa yako ni lazima ipitie wakati mgumu kwa sababu kuna kipindi baba mtoto atahitaji amuone mtoto wake kwa sababu hiyo ni haki yake.
HAYA ENDELEENI KUTAJA CHANGAMOTO ZINGINE.
2.Kipaumbele kikubwa katika mahusiano na single mother ni mwanae cha pili yeye cha tatu ni yeye hivvyo lolote linalofanyika ndani ya mahusiano mtu wake wa kwanza kumwangalia ni mwanae.
3.Katika uchumba single mothers wengi mara nyingi huwa hawapendi ndugu wa mwanaume wajue kama ana mtoto mpka mmeingia kwenye ndoa hivyo hili jambo anataka liwe siri.
4.Mnapokuwa katika uchumba single mother hawapo tiyali kwa sex wala kuzaa nae wewe hadi ndoa au utakapomtolea mahali lakini hapo hapo mzazi mwenzie hawezi kumyima papuchi na hata kuzaa nae tena yupo tiyali.
5.Unapooa single mother ndoa yako ni lazima ipitie wakati mgumu kwa sababu kuna kipindi baba mtoto atahitaji amuone mtoto wake kwa sababu hiyo ni haki yake.
HAYA ENDELEENI KUTAJA CHANGAMOTO ZINGINE.