Kwa mara ya kwanza nashuku matokeo ya utumishi kwa kada ya Lab. Scientist ii, Aquatic sciences and fisheries technologies UDSM.
Kwanza pepa ilikuwa rahisi sana, pia kwa pdf zilizopanda, kada yetu hakuna pia Sekretarieti ya Ajira kuna nini kinaendelea?
Kwakweli tokea nimeanza fanya pepa za utumishi, Kwa mtazamo wangu, pepa ya jana ilikuwa rahisi sanà.
Ngoja tusubirie hekima za wakandaji hawa hapa
Qns: Lab. Scientist II, Aquatic Science and Fisheries-UDSM.
Kuna uzi humu una kila taarifa ila ukishasikia hili "Usimwambie mtu mwingine njoo kwangu nikupe taarifa" tena kwenye dunia hii yenye teknolojia ya 5G! Stuka na kimbia haswa.
Good morning.
Vipi kuhusu wale wenye professionals zao treatment yao gerezani inakuwaje? Na vipi ikiwa raia akimletea mfungwa wake issue zisizoruhusiwa ila akabainika? Atapewa adhabu gani?
Mwisho mwenye uzi part 2 naomba anitumie PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.