Kitendo cha serekali kufanyia kazi mapendekezo ya kanisa Hakimaanishi kwamba serekali ni royal kwa kanisa. Kama mkataba hauna shida na no kwa manufaa ya Wananchi, kuna Haja gani ya kulazimisha ikiwa wananchi wenyewe hawautaki?
Yafaa hoja ya Mtume ijibiwe kwa hoja na sio kutishia kuchukua hatua. Hilo wazo la kuchukua hatua hakika ndio ambacho Mtume amekiita'shetani wa Ikulu'. Hii no kusema shetani wa Ikulu inamaanisha Ile dhana ya a matumizi mabaya ya madaraka kwa mwavuli wa Ikulu.
Hilo jengo halijajengwa na UVCCM ingawa inasemekana linamilikiwa na UVCCM Kuna uwezekano mkubwa likawa limepatpatika kwa njia zile zile😄😄😄😄 Ila vyanzo vinasema lile jengo limejekwa na kituo Cha mafuta kiitwacho Njombe Filling Station, ingawa Mimi mwenzenu napita tu ....
Hilo andiko lako halikaribiani na ukweli Wala uhalisia wa hoja iliyoko mezani. Tumeshuhudia ATCl ikitangaza kupata faida na kutoa gawio kwa government. Sasa swali la msingi ni kwa Nini walidanganya kuwa wamepata faida wakati wanajua hiyo sio sahihi? Je hilo gawio walillsema wanatoa ilikuwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.