Wakuu haiingi akili hadi sasa Chama kikuu cha Upinzani CHADEMA kutokuwa na majengo yake ya ofisi kama chama ni aibu.
Ofisi ya pale ufipa ni aibu tupu kuwa yale ndiyo makao makuu ya chama. Hapana tubadilike jamani.
Nimeshangaa kuona ujenzi wa Jengo la UVCCM RUVUMA nikajiuliza hawa CHADEMA wana tatizo gani kama ruzuku wanapata ni ya kutosha....
Picha ya majengo ya UVCCM Ruvuma namkukuu Mwenyekiti wa UVCCM Ruvuma Raymond Mhenga maarufu kama Ray Bombambili
“Makabidhiano ya Jengo hilo ambalo lipo Kata ya Bombambili Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma yatafanyika Tarehe 3/07/2021. Ambapo litazinduliwa rasmi na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Comredi Kheri Denis James na pia itakuwa ni siku ya uzinduzi wa Nyumba ya Katibu wa Uvccm Mkoa huo ambayo imejengwa kwenye Kata ya Lizaboni.”
Hadi nyumba za Makatibu UVCCM wanajenga lakini CHADEMA ya Kaka Mbowe inapigana kidigitali hata kama tunaenda Dijitali lazima tuwe miundombinu wezeshi ya kidijitali hii ni aibuuuuu.
Ofisi ya pale ufipa ni aibu tupu kuwa yale ndiyo makao makuu ya chama. Hapana tubadilike jamani.
Nimeshangaa kuona ujenzi wa Jengo la UVCCM RUVUMA nikajiuliza hawa CHADEMA wana tatizo gani kama ruzuku wanapata ni ya kutosha....
Picha ya majengo ya UVCCM Ruvuma namkukuu Mwenyekiti wa UVCCM Ruvuma Raymond Mhenga maarufu kama Ray Bombambili
“Makabidhiano ya Jengo hilo ambalo lipo Kata ya Bombambili Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma yatafanyika Tarehe 3/07/2021. Ambapo litazinduliwa rasmi na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Comredi Kheri Denis James na pia itakuwa ni siku ya uzinduzi wa Nyumba ya Katibu wa Uvccm Mkoa huo ambayo imejengwa kwenye Kata ya Lizaboni.”
Hadi nyumba za Makatibu UVCCM wanajenga lakini CHADEMA ya Kaka Mbowe inapigana kidigitali hata kama tunaenda Dijitali lazima tuwe miundombinu wezeshi ya kidijitali hii ni aibuuuuu.