Mbowe nawe unavichekesho kweli! leo ndo unastuka kuwa kuna wapiga kura hewa? ukustuka siku waliposema watu waliojiandkisha mil 28. hapo ndo tatizo lilipoanzia.
Mayala kwangu namchukulia kama mchambuzi mahiri sana, lkn kuna wakati anazidisha mahaba hapo ndo anachemka. cdm na ccm sio rahisi kufa kwa sababu ya mtu mmoja kahama, hivi vyama viwili tayari vina mizizi iliyochimbia chini. Havielei kama vyama vingine. mifano ipo mingi
Kwenye hili nawatetea waandishi wa habari.. niambieni nchi hii kwa sasa nani anainua mdomo wake au kalamu yake kuandika tofauti na watawala wanataka? si maprof wala wanaojiita wananzuoni sijui... amebaki mtu mmoja tu antipas basi. wengine wote ...kimyaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.