CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,461
Hapo kwenye kuharibu Mali za wananchi wamekosea si Wa support kabisa,ilitakiwa waharibu za mashetani ccm tu.Acha upuuzi, watu wamejichukulia sheria mkononi kwa kuharibu mali ya umma unawatetea! Kwa nini wachome ofisi za serikali na kuharibu mali za wananchi. Hawajui mahakama iko wapi?