Kama kuna wauza karanga karibu hapo waambie wakupe pakti mbili mwana natuma hela na ya kutolea kulipia. Shushia na kicoca cola kidogo maisha yaendelee.Lipumba angependa kuigiza comedy tu au aungane na wale wazee wa futuhiiii
Hata kama husemi. Nafsi yako lazima inatofautiana na andiko hili.Kawaida tu,Lissu na mishe zake zoote kapata kura za ujazo wa kopo la losheni ml 1,900.
Kura saba zisingemfikisha kokote.Hata kwenye kampeni Lipumba alikuwa anahutubia spika zake mwenyewe.Aufyate tu huyu Lipumba, amevuna alichopanda!
ZIHARIBIKE SABA TU ZA CUF. ONDOA UJINGA WAKOKama ziliharibika ulitaka zihesabike kura halali?
Kwani haiwezekani?ZIHARIBIKE SABA TU ZA CUF. ONDOA UJINGA WAKO
Sure, ndio maana matokeo kama ya Hai yakatagazwa after only 9 hours.Wizi wa mwaka 2020 umekuwa wa kijinga sana. Yaani zile kura za vituoni zilikuwa replaced zote na kura walizoamua kupiga wasimamizi wa NEC.
Maajabu ya uchaguzi yanaendelea, Lipumba akiwa anaongea na vyombo vya habari ameshangazwa na kitendo cha mgombea ubunge jimbo la Temeke kupitia chama anachokiongoza cha CUF, Zainab Mndolwa kuambulia kura sifuri kwenye kituo ambacho yeye na wana-familia saba walienda kupiga kura.
Lipumba amesema hiyo inamaanisha hata wizi ulivyofanyika hata aibu hawana kitu ambacho ni hatari na balaa kuliko Corona.
====
Idadi ya kura zilizotangazwa na Tume ya Uchaguzi kwa wagombea mbalimbali wa nafasi mbalimbali zina tofauti kubwa na uhalisia. Kwa mfano, mgombea ubunge wa jimbo la Temeke kwa tiketi ya CUF alipata kura sifuri (0) katika kituo ambacho yeye na wanafamilia yake ya watu 7 walipigia kura.
Aidha, ukichunguza matokeo ya uchaguzi kwa kuzingatia vyama utabaini kwamba matokeo yaliyotangazwa yalikuwa yameshapangwa, na hayatokani na yale ya wapiga kura. Mfano, rejea matokeo ya majimbo ya Dar es Salaam ya Mbagala, Temeke, Segerea na Ubungo. UBAKWAJI huu wa demokrasia ni kinyume na ibara ya 15 (1), ibara ya 16 (1) na ibara ya 17 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Aidha UBAKWAJI huu unakwenda kinyume cha maazimio mbalimbali ya kimataifa ambayo Tanzania kama nchi imeyaridhia ikiwa ni pamoja na Azimio la Jumiya ya Madola la Harare la mwaka 1991 na itifaki ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Afrika.
Ni mjinga sana alikuwa anashinda Ikulu anakenua menoAufyate tu huyu Lipumba, amevuna alichopanda!