swala la kujiajiri lataka moyo na ni njia ndefu hasa kwa wale wanaotoka vyuoni mara ya kwanza, naungana na ww kwamba wengi wanaozungumza kuhusu vijana wajiajiri ni walewale ambao wako kwenye ajira na hata ukimfuatilia hana hata biashara ya kuiza bikini so wanabaki kuwalewesja watt wa maskini...
Kimsingi Afrika hususani Tanzania hatujapevuka kisiasa, na ndo maana watu wengi hususani vyama vikubwa vinazani siasa ni mashinadano kama ilivyo mechi ya simba na yanga au Arsenal na Man City.
Ukiangalia mbele zaidi usidhani kama jumuiya ya kimataifa ndio itakuwa suluhu ya matatizo yenu ya ndani ni sisi wenyewe kufanya maamuzi sahihi na wakati sahihi.
:angry:
"The fear of public speaking is greater than the death for most people" Watanzania tunakurupuka kwa kutishwa na mambo madogo na wanaowatisha ni wale mliowaamini kama viongozi ili waendelee kuwatala kifikra.
Nimegundua kumbe tatizo sio chama wala uchama, tatizo ni watanzania wengi kama ww hawjui lugha yao, mnashindwa kutenganisha lipi tusi na kauli zakawaida sa hapo kuna tusi gani alilotukanwa?
Yaani mijitu mingine haimuogopi mungu wala haina sura za haibu kila siku kudanganya kwa mtindouleule irimradi wajikwapulie vya kwao, dah 2meisha washtukia try to find new technique.<br>
Hapo sawa kabisa, kwa kulopoka kwao na kutofikiri kimsingi na kiupana wanaisi lisu kawatusi, alafu kingine nashangaa wa2 wote mnaoisi lisu katukana mbona hamna Facts za kutosha na Ushawishi wenye visibitisho ili watanganyika tuwaelewe? Nchi yetu Kama mlizoea dezo jua mwisho wenu unakaribia kama...
Sidhani kama kuna ukweli wowote wa kusema nyerere hakua mtu wa kawaida, ambacho alijahariwa ni kuweza kudadisi mambo na kuyafikiri kwa kina ingawa hata yale aliyokua anayakosea ubabe ndo ulikua unamuokoa, kinachokosewa na nyinyi m ni hiki hawasomi, hawajui, hawadadisi mambo na wanataka kuwa kama...
Ninashaka na hizi degree, Doctorate, Masters na Elimu zingine za hao waliopo katoka kamati, sidahani kwa mtu mwenye utashi na anafikiria kabisa akawa anaongea vitu ambavyo havina logic hata kidogo hata mtt hawezi kujua. Dhambi na damu zinazomwagika za watanzania kwa ajir ya kutetea ujinga lazima...
kiukweli mtizamo wako unaukweli ndani yake kama mambo mengine hayajaingilia kati, ila la msingi watu tumetofautiana kimawnzo na hata kiutendaji, ukianza biashara na hauishemu pesa ni sawa na kazi bure, bora hata ujiwekee asset ndani wanao waje kugombania baadae baada ya kufa kwa stres kila mtaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.