shukrani kwa ushauri wako mzurimie ila basi yote katika maisha hupangwa na Mwenyezi Mungu...maana naona kwako wewe kila kitu ni kwa ujanja na uwezo wako...sidhani sana ila basi na kwa hili nazidi kujifunza jinsi wanadamu tulivyo hususan katika swala zima la mahusiano ya kimapenzi.
Ishu ya usafi wandugu nia ya pande zote mbili...maana mwanadamu ni tofauti na viumbe wengine wanaotegemea maumbile asilia ya ulimwengu huu...ila sisi tusipojitunza na kujiweka vema inakuwa kero sana kwa wengine wanaotuzunguka...pamoja na kuwa na shida ya maji inafaa sana kuzingatia usafi binafsi...
Mmhh...kazi kweli hata neno la faraja...hakuna neno maana nami najaribu kulibeba hili kiume maana hata kati ya marafiki wapo wanaosema niachane nalo na nisonge kimtindo...najaribu kuchuja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.