we mbulula sana kwa hiyo ndo umeamua kugeneralize wanawake wote? huna busara hata tone na inaonyesha usivyomthamini mama yako. mwanaume anayedharau mwanamke hata mama yake sidhani kama anamthamini
pole sana domy. ila jitahidi sana kumfuatilia mtoto kwa karibu. ukiona badiliko kidogo waone wataalam. watoto wanabadilika kama vinyonga take care sana.
hivi nyie mambulula mmevurugwaa nini. kwa hiyo kama angefia nje ya nchi ndo angeonekana kawini maisha? kuwa nje ya nji haimaanishi ndo kuwa na maisha mazuri sana kuliko walioko nchini. acheni mawazo finyu. wangapi wako nje ya nchi na wanajuuta kuikimbia tz? acheni umbulula.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.