Recent content by lukenza

  1. lukenza

    Magari yanauzwa

    nahitaji suzuki jimmy
  2. lukenza

    Napenda kunusa kufuri la mke wangu

    inabidi uombewe
  3. lukenza

    Sengerema sasa ni jimbo huru, Mwalimu mwanamke kupigania Ubunge

    Mimi huwa nasikitika sana kiongozi anaposema (Leo Karne ya 21. )Kuwa eti Ameleta Mendeleo kwa kujenga Barbara ya lami au kuleta umeme, Hivi ni vitu viliitwa Mendeleo miaka ya 50 na vilitakiwa viletwe kwenye miaka hiyo lakini Kirk Karne hii wenzetu vitu Kama hivi ni basic need na mtu havioni Kama...
  4. lukenza

    Ndo yanayotokea kwenye ndoa zote jamani?

    kama ingekuwa umegundua kuwa mumeo ana mahusiano nje halafu akakataa ningekwambia kuwa hivyo ndivyo ndoa zilivyo ,maama wanaume wemye mahusiano nje ya ndoa ni wengi kuliko wasio na mahusiano lakini huwa wanafanya siri tena siri kubwa
  5. lukenza

    Matumizi ya torret kwenye trial software msaada

    Mkuu asante sana ngoja nijaribu watu kama nyinyi ni hazina
  6. lukenza

    Matumizi ya torret kwenye trial software msaada

    Nime download program inaitwa INVOICE BY CLICK Hawa wenye program hii siwaelewi kabisa wameweka software yao kwenye internet lakini ukijaribu kuwasiliana nao kwa ajili ya wakuuzie hawajibu hata msg moja software hii nimeipenda na imeshafiki muda wake wa ku expire ( 30 days trial ) Nimesikia...
  7. lukenza

    Kwa Neema FM hawaepuki Dhambi hii ya Buseresere, TRCA Nanyi Amkeni sasa!

    Kiukweli waislamu munadhalilisha sana wakristu kinachosaidia wakristu daima wamekuwa waelewa, laiti wangeataka kujibizana kungekuwa na vurugu kubwa, na sio kusema uwezo hawana wanao na nguvu pia, tanzania ni yetu na tumetoka mbali sote ni ndugu mbona tumechanganyika katika mafamilia yetu? Mungu...
  8. lukenza

    Kwa Neema FM hawaepuki Dhambi hii ya Buseresere, TRCA Nanyi Amkeni sasa!

    Aliyeropoka maneno hayo hana akili kaka ndio mashetani wenyewe wa dunia, huwezi kufuru dini ya mwenzako kiasi hicho ati wanao jidai wakristu tena shwaini huyo
  9. lukenza

    Je, Prof. Lipumba anaweza kusimama katikati ya mzozo wa kidini?

    Bila kuegemea upamde wowote hapo umesema kweli
  10. lukenza

    mna ushauri gani juu ya msg kama hizi!!!!!

    Hakuna Pesa Rahisi Duniani HIi ni Formula ya Dunia nzima Kama unaendelea kuwasiliana na watu kama hawa nakushauri uache kabisa kuna Kipindi nilwahi kupata E mail kama hizi Jinu langu lilikuwa Fupi Tu ST uPID Kwa maadishi makubwa size 24 fonti
  11. lukenza

    Excel or spreedsheet kwenye Ipad3

    Hi Nimununua IPAD 3 nilikuwa nataka nitumie kwa ajili ya Business na office especially Spreedsheet je nitapata wapi hii
  12. lukenza

    Iq test

    72 hope is right
  13. lukenza

    Dawa na njia mbadala ya kuotesha na kurutubisha nywele kwa wenye vipara...

    mutafute Wayne Rooney atakueleza yeye alifanyaje
  14. lukenza

    Nataka Kurudi Tanzania-Ushauri

    Hivi Tz hii watu bado wana ndoto za kuajiriwa mm naonkuajiriwa ni kupoteza muda mtu kama una shule yako achana na kasdumba zxa kuajiriwa
  15. lukenza

    Picha inayotingisika!

    ukitaka kujua kuwa haitingishiki ziba picha yote ya nje halafu acha hiyo ya ndani ndiyo utaona kuwa haitingishiki
Back
Top Bottom