Zipo hatua kadhaa inabidi Nchimbi apitie Ili tumuamini,kwanza ajiuzulu nafasi yake ya VP. Vita yake iwe nje ya mfumo,japo tunajua ccm na serikali yake wanaweza kufanya hivyo kumtaka Nchimbi aondoke kwenye nafasi yake kwa lengo la kuilinda serikali na ionekane Nchimbi aonekane anaipinga serikali...
Hii inaitwa kupatwa kwa bwana jela! Wawe makini! Ulinzi wa Lissu uimarishwe,Maana Lissu alisema yeye na bwana jela kwao ni Ukonga na wataendaje? Jamaa asije akajitoa muhanga akazimimina kwa msemo wa tukose wote?
Maadui wa wananchi ni ccm na serikali yake full stop. Mmeua watu ili mbali madarakani,ufisadi mkubwa( ununuzi wa mafuta kwa bei za kifisadi tofauti na nchi nyingine ambazo zinanunua mafuta na kupitisha kwenye bandari yetu na bado kwao fuel ni bei rahisi) utekaji.n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.