Recent content by Lukenya

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kuhusu wahitimu kidato cha 6 kujiunga na JKT.

    Nashukuru Kwa ushauri mzuri
  2. L

    JamiiForums Tanzania Kuhusu wahitimu kidato cha 6 kujiunga na JKT.

    Wakuu habari za muda huu. Naomba kuuliza utaratibu wa wahitimu wa kidato cha 6 kujiunga na JKT kama bado ni hiyari au kwa sasa ni lazima? Na kama ni lazima,mafunzo hayo huanza mwezi gani kwa hawa ambao wamehitimu kidato cha 6 mwaka huu?
  3. L

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya si mali ya Chama chochote cha Siasa bali ni mali ya Wananchi

    Kwenda kuleee...Msituchezee wananchi. Tumewachoka!!
  4. L

    JamiiForums Tanzania Kahama: CCM, yaanza kuvunja Vizimba vya CHADEMA

    Msijali! Chadema ipo mioyoni. Waache wajidanganye kwa kuvunja vizimba.
  5. L

    JamiiForums Tanzania Halitakuwa jambo la kushangaza Mrisho Gambo akihamia CHADEMA

    Aje tu ila asipewe madaraka yoyote ndani ya CDM. Na asihusishwe Siri yoyote. Huyu ni mamluki
  6. L

    JamiiForums Tanzania Siasa zetu za vyama zimefika saturation point kwa CHADEMA

    Ilikuwa wakati wa Mbowe. Ila kwasasa hii ni Chadema ya watanzania wenye uzalendo na nchi Yao na wanataka kuikomboa nchi yao
  7. L

    JamiiForums Tanzania Siasa zetu za vyama zimefika saturation point kwa CHADEMA

    Chadema ni Imani,hakuna wa kuifuata Chadema.
  8. L

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo acheni uduwanzi wa kisiasa. Kama mlitambua tume ya uchaguzi ni batili na haiko huru mliingia kwenye uchaguzi ili iweje?

    Na waliwakejeli Chadema kwa kususia uchaguzi. Bure kabisa hawa mawakala wa kijani
  9. L

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Barua yetu kwa CHADEMA inasema kusimamisha chama kwa muda, sio kufuta

    Kwani katiba ya nchi imekataza maandamano?
  10. L

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Kuna mpango wa kumkamata Heche na kumfungulia kesi ya uhaini

    Tutayatamka maneno haya hadi lini? Watu wanateswa,wanatumia. Tuamkeni jamani!
  11. L

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza apendekeza njia rahisi na salama ya kuifuta CHADEMA

    CDM ni Daudi na CCM ni Goliathi. Kombeo Moja linaandaliwa na Mungu na ndio utakuwa mwisho wa Goliathi.
Back
Top Bottom