Recent content by Lukenya

  1. L

    JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani laikosoa ripoti ya Chade, lataka Samia afikishwe ICC

    Yaani mtuuwe halafu tuwatetee. Pumbavu kabisa?
  2. L

    JamiiForums Tanzania Hallelujah! Nchimbi Ameokoka, Bwana Asifiwe!!!?

    Zipo hatua kadhaa inabidi Nchimbi apitie Ili tumuamini,kwanza ajiuzulu nafasi yake ya VP. Vita yake iwe nje ya mfumo,japo tunajua ccm na serikali yake wanaweza kufanya hivyo kumtaka Nchimbi aondoke kwenye nafasi yake kwa lengo la kuilinda serikali na ionekane Nchimbi aonekane anaipinga serikali...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Kuna Vyombo Vya Habari vimefuta hotuba ya Nchimbi kwenye mitandao ya kijamii?

    Hakuna hiyo!
  4. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    WE LOVE YOU HECHE
  5. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Tuchunguze vipi jembe letu hili la nguvu!? Zaidi tunahitaji kumpa nguvu ya kutupigania sisi wananchi tuliotawaliwa na mkoloni mweusi.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Kutoka kwa Hilda: Hawa nao wamendaliwa Press kwa ajili ya Makamu Mwenyekiti CHADEMA

    Walaaniwe na vizazi vyao.
  7. L

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Ipo siku Watanzania mtamkumbuka Rais Samia

    Nitamkumbuka kwa mabaya mengi sana yaliyotendeka kwenye utawala wake dhidi ya watanganyika na Tanganyika yenyewe.
  8. L

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Bwana Jela wa Ukonga, Andrew Ntamamiro akifanyiwa dodoso na Tundu Lissu - Siku ya kwanza

    Hii inaitwa kupatwa kwa bwana jela! Wawe makini! Ulinzi wa Lissu uimarishwe,Maana Lissu alisema yeye na bwana jela kwao ni Ukonga na wataendaje? Jamaa asije akajitoa muhanga akazimimina kwa msemo wa tukose wote?
  9. L

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA yaja na operesheni “Tujenge Pamoja Tanzania ni Sisi", yazindua mchango kwa wanachama

    Mashetani kabisa Hawa. Ila hakuna giza linaloishinda nuru
  10. L

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA yaja na operesheni “Tujenge Pamoja Tanzania ni Sisi", yazindua mchango kwa wanachama

    Tunasubiri aibu Yao! Watu 10 kwenye mikutano yao
  11. L

    JamiiForums Tanzania Polepole hakutakiwa kusema hili jambo

    Hatufiki 2030 kabla Mungu hajaingilia kati.
  12. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Uingereza amteua Kanishka Narayan kuwa Waziri wa kwanza wa Akili Unde (AI). Tanzania tunaweza?

    AI ni mpango wa shetani kupitia illuminati
  13. L

    JamiiForums Tanzania Tunapigwa sana na Wachina 🥲

    Kwa neno la Kristo tutashinda
  14. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tusikubali kutumika na watu wasioitakia mema nchi yetu, tuepeuke kuwa wasaliti na maadui wa nchi yetu

    Maadui wa wananchi ni ccm na serikali yake full stop. Mmeua watu ili mbali madarakani,ufisadi mkubwa( ununuzi wa mafuta kwa bei za kifisadi tofauti na nchi nyingine ambazo zinanunua mafuta na kupitisha kwenye bandari yetu na bado kwao fuel ni bei rahisi) utekaji.n.k
  15. L

    JamiiForums Tanzania Ikiwa Tanzania ni lango kuu la mafuta kwa baadhi ya nchi jirani, kwanini Mtanzania ndiye alipe gharama kubwa zaidi?

    Tunapigwa mchana kweupe. Nchi inatafunwa hii wacheni tu!!
Back
Top Bottom