Recent content by lukatony

  1. lukatony

    JamiiForums Tanzania Aliyemwelekeza Ahmed Ally kumtangaza Seleman Mwalimu anapaswa kujiuzulu mara moja pake Simba ni mhuni

    HAKIKA MKUU,UMENENA VYEMA SANA
  2. lukatony

    JamiiForums Tanzania Mseto huu Tukuka na hasa ukiutumia kama ndiyo Chai yako Asubuhi na Jioni ni zaidi ya Viagra, Futulu na Mivumbi yenu ya Kongo nani anabisha?

    Vimethibitishwa?Huo mchanganyo utakuletea high blood pressure,Kisha utakuwa mgonjwa high blood pressure,and diabetes mellitus 2,Kisha figo!
  3. lukatony

    JamiiForums Tanzania Figo kuanza kufeli: Fahamu dalili na tiba yake ya mimea

    Acha kudanganya watu mkuu!Kwa hiyo inafufua organ iliyokufa?
  4. lukatony

    JamiiForums Tanzania Kama Hujui Waulize Wanaojua: Historia ya Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    Wewe Mzee ni shida sana!Maskin unaangaika sana!Waislam na uhuru,Waislam na uhuru!Kwa hakika una shida kichwani ila nadhani ni Geriatrics diseases zinakusumbua!Pumzika achana na hayo mambo!Kuwa karibu na muumba wako achana na haya mambo Mzee!
  5. lukatony

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Gridi ya Taifa yapata hitilafu. Umeme wakatika nchi nzima - Juni 27, 2026

    Wanachukua kutoka Zambia muda mrefu kama kagera kutoka Uganda
  6. lukatony

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Hotel Inauzwa ipo Kariakoo Dsm, bei Ni Billioni 10

    We bwana dalali!Umeongeza Cha juu shilingi ngapi?Mi Nina 4b
  7. lukatony

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    How did u manage it?Be open so that u can help others from this turmoil life!
  8. lukatony

    JamiiForums Tanzania Tangu mwaka 2026 uingie, umefanya lipi la maana?

    I have managed to stop taking alcohol which truly took my life into a disaster!Thanks God!
  9. lukatony

    JamiiForums Tanzania KERO Rushwa na utapeli wa baadhi ya wafanyakazi wa Ardhi Halmashauri ya Bagamoyo

    Kwenye mfumo unaingiaje?Na wewe huna akaunti!Na akaunti may be alikufungulia huyo mtu wa ardhi Kwa Siri bila wewe kujua?
  10. lukatony

    JamiiForums Tanzania KERO NHIF: Malipo ya Ziada Kwa Wagonjwa wa Bima Kamanga?

    Kwa hiyo unataka Dr Hillary afukuzwe kazi?Acha hizo!Kila mtu anakula kazin kwake!
  11. lukatony

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Spirtual awekening au presence of God(author of time, creator)

    Hiyo ni mojawapo , spiritual awakening ni kuamka na kujua Kuna nguvu yeyote kubwa zaidi yako wewe!C Mungu,hata kama unaamin Jua unaweza ukapata mwamko wa kiroho wa kuhiusha Iman yako tena katika jua kama ulikuwa umezembea,huo ndo mwamko wa kiroho
Back
Top Bottom