Wewe Mzee ni shida sana!Maskin unaangaika sana!Waislam na uhuru,Waislam na uhuru!Kwa hakika una shida kichwani ila nadhani ni Geriatrics diseases zinakusumbua!Pumzika achana na hayo mambo!Kuwa karibu na muumba wako achana na haya mambo Mzee!
Hiyo ni mojawapo , spiritual awakening ni kuamka na kujua Kuna nguvu yeyote kubwa zaidi yako wewe!C Mungu,hata kama unaamin Jua unaweza ukapata mwamko wa kiroho wa kuhiusha Iman yako tena katika jua kama ulikuwa umezembea,huo ndo mwamko wa kiroho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.