Recent content by lukatony

  1. lukatony

    Ukweli kuhusu Spirtual awekening au presence of God(author of time, creator)

    Hiyo ni mojawapo , spiritual awakening ni kuamka na kujua Kuna nguvu yeyote kubwa zaidi yako wewe!C Mungu,hata kama unaamin Jua unaweza ukapata mwamko wa kiroho wa kuhiusha Iman yako tena katika jua kama ulikuwa umezembea,huo ndo mwamko wa kiroho
  2. lukatony

    TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Cha kwanza tu walimu hawapendi wanafunzi wao wafeli!,mwanzo ilikuwa ni vyuo vya private,na sababu wanafunzi ndo customers wa kugenerate incomes,so namna zinafanyikaPili Muundo wa mitihani umebadilika sana Kwa sababu ya wingi wa wanafunzi!
  3. lukatony

    TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Mambo yamekuwa simple wewe!Naelewa ninachokisema!Nimeishi maisha hayo za Zamani na Bado naendelea kuyaishi na nitastaafu katika maisha hayo ya vyuoni!Nafahamu nachokisema
  4. lukatony

    TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Inategemea ulisoma wapi?Kama ni Muhimbili ya 2002 kurudi nyuma huko hivyo vitu visikie tu,vilizima ndoto za magenius wengi kuwa madaktari!Disco nje nje!
  5. lukatony

    Kwa Watumishi wa Umma: Kipi Bora Kwako Kama Mwajiriwa? Uchukue Mkopo Mkubwa Kwa miaka 10 au Uchukue Mkopo Kidogo Kidogo?

    Inakusaidia Nini?Fanya Kila jambo Kwa usahihi!Usijikamue ukaishi kimaskin kisa kuwaridhisha watu hata ukiwa maiti!IL
  6. lukatony

    Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

    Hakuna mtu anayetaka mahusiano na mtu asiye na fursa AKA kipato!Hata wanaune tunapenda wenye fursa(Nyashi,Sura,Matiti)!
  7. lukatony

    Hivi ni kweli watu wanarogwa wasipige hatua za kimaendeleo?

    Bado sana wewe!U are still evolving to modern human!
  8. lukatony

    PSSF

    Msaada
  9. lukatony

    PSSF

    Nipo Bush!Ndo nimelipwa leo Kwa hiyo sijafuatikia Nataka kesho nuwapigiw simu!Ila nilitaka kujua Kwa wadau wanaofahamu
  10. lukatony

    PSSF

    Msaada tafadhali mwenye kujua hili!
  11. lukatony

    PSSF

    Hivi inawezekana PSSF wakakipa salio dogo kulikoni ulilochangia?Mimi nilikuwa nafanya kazi sehemu.Nilikuwa nachqngia mfuko wa LAPF kabla ya sheria kubadilisha 2018 na sisi wa Private kurudishwa NSSF tangu 2018 August..Hela zangu za mwanzo zikabaki LAPF ambayo ikawa PSSSF jumla ya million 18 Kwa...
Back
Top Bottom