Hiyo ni mojawapo , spiritual awakening ni kuamka na kujua Kuna nguvu yeyote kubwa zaidi yako wewe!C Mungu,hata kama unaamin Jua unaweza ukapata mwamko wa kiroho wa kuhiusha Iman yako tena katika jua kama ulikuwa umezembea,huo ndo mwamko wa kiroho
Cha kwanza tu walimu hawapendi wanafunzi wao wafeli!,mwanzo ilikuwa ni vyuo vya private,na sababu wanafunzi ndo customers wa kugenerate incomes,so namna zinafanyikaPili Muundo wa mitihani umebadilika sana Kwa sababu ya wingi wa wanafunzi!
Mambo yamekuwa simple wewe!Naelewa ninachokisema!Nimeishi maisha hayo za Zamani na Bado naendelea kuyaishi na nitastaafu katika maisha hayo ya vyuoni!Nafahamu nachokisema
Inategemea ulisoma wapi?Kama ni Muhimbili ya 2002 kurudi nyuma huko hivyo vitu visikie tu,vilizima ndoto za magenius wengi kuwa madaktari!Disco nje nje!
Hivi inawezekana PSSF wakakipa salio dogo kulikoni ulilochangia?Mimi nilikuwa nafanya kazi sehemu.Nilikuwa nachqngia mfuko wa LAPF kabla ya sheria kubadilisha 2018 na sisi wa Private kurudishwa NSSF tangu 2018 August..Hela zangu za mwanzo zikabaki LAPF ambayo ikawa PSSSF jumla ya million 18 Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.