Recent content by lukatony

  1. lukatony

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    How did u manage it?Be open so that u can help others from this turmoil life!
  2. lukatony

    JamiiForums Tanzania Tangu mwaka 2026 uingie, umefanya lipi la maana?

    I have managed to stop taking alcohol which truly took my life into a disaster!Thanks God!
  3. lukatony

    JamiiForums Tanzania KERO Rushwa na utapeli wa baadhi ya wafanyakazi wa Ardhi Halmashauri ya Bagamoyo

    Kwenye mfumo unaingiaje?Na wewe huna akaunti!Na akaunti may be alikufungulia huyo mtu wa ardhi Kwa Siri bila wewe kujua?
  4. lukatony

    JamiiForums Tanzania KERO NHIF: Malipo ya Ziada Kwa Wagonjwa wa Bima Kamanga?

    Kwa hiyo unataka Dr Hillary afukuzwe kazi?Acha hizo!Kila mtu anakula kazin kwake!
  5. lukatony

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Spirtual awekening au presence of God(author of time, creator)

    Hiyo ni mojawapo , spiritual awakening ni kuamka na kujua Kuna nguvu yeyote kubwa zaidi yako wewe!C Mungu,hata kama unaamin Jua unaweza ukapata mwamko wa kiroho wa kuhiusha Iman yako tena katika jua kama ulikuwa umezembea,huo ndo mwamko wa kiroho
  6. lukatony

    JamiiForums Tanzania TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Cha kwanza tu walimu hawapendi wanafunzi wao wafeli!,mwanzo ilikuwa ni vyuo vya private,na sababu wanafunzi ndo customers wa kugenerate incomes,so namna zinafanyikaPili Muundo wa mitihani umebadilika sana Kwa sababu ya wingi wa wanafunzi!
  7. lukatony

    JamiiForums Tanzania TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Mambo yamekuwa simple wewe!Naelewa ninachokisema!Nimeishi maisha hayo za Zamani na Bado naendelea kuyaishi na nitastaafu katika maisha hayo ya vyuoni!Nafahamu nachokisema
  8. lukatony

    JamiiForums Tanzania TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Inategemea ulisoma wapi?Kama ni Muhimbili ya 2002 kurudi nyuma huko hivyo vitu visikie tu,vilizima ndoto za magenius wengi kuwa madaktari!Disco nje nje!
  9. lukatony

    JamiiForums Tanzania Kwa Watumishi wa Umma: Kipi Bora Kwako Kama Mwajiriwa? Uchukue Mkopo Mkubwa Kwa miaka 10 au Uchukue Mkopo Kidogo Kidogo?

    Inakusaidia Nini?Fanya Kila jambo Kwa usahihi!Usijikamue ukaishi kimaskin kisa kuwaridhisha watu hata ukiwa maiti!IL
  10. lukatony

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

    Hakuna mtu anayetaka mahusiano na mtu asiye na fursa AKA kipato!Hata wanaune tunapenda wenye fursa(Nyashi,Sura,Matiti)!
  11. lukatony

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli watu wanarogwa wasipige hatua za kimaendeleo?

    Bado sana wewe!U are still evolving to modern human!
  12. lukatony

    JamiiForums Tanzania Nimeuza kiwanja changu milioni 10, nataka ninunue bodaboda 3. Hii biashara mnaionaje?

    Nikooeshe million Moja basi mkuu
Back
Top Bottom