Poleni na majukumu wadau najua humu kuna wazoefu wengi wa kudumu katika biashara hizi mbili naomba uzoefu wenu katika biashara ya mbao kuja kuuza Dar yani nipate sehemu niwe nauza taratibu au biashara ya mkaa nijumue mkoa nilete Dar niuze taratibu.
Naomba ushauri wenu mtaji wangu ni 15m, na...
Napenda kufanya biashara Comoros ya kupeleka mbuzi mwenye uzoefu wa hii biashara naomba msaada wake na biashara nyingne pia ambazo mtaji wake maximum M15, awe mzoefu anae kwenda kila siku.
Shamba lina eka 12 na lina hati miliki miti ni mikubwa ina miaka 6 kuna paina na mlingoti bei maelewano kama una itaji karibu ni chek PM chap mm ni mhusika na siyo dalali
Shamba lina eka 12 lime pandwa miti ya paina ambayo ina miaka 6, na mlingot upo eka 6 kwa anae itaji kila eka ni laki 5, maongezi yapo mimi ni mhusika ninae uza njoo PM tuzungumze,,, na hati miliki ipo ya eneo
Vp kuhusu uaminifu wenu maana kuna kampn xta itaja nli nlipa uwanja huko goba njia nne mwsho wa siku waka sema viwanja vina badilishwa kufuatilia office zao zime hama na jina wame badili vp kwa upande wenu
Nauza hiyo bei kwa ofa na kwa mtu anaehitaji kuwekeza zilizopandwa nazo bei ni moja hiyo 130000, na ambazo hazija pandwa pia bei ni moja pia lkn atae chukua shamba lote ndyo atae faidi maana karibia robo ya shamba imepandwa karibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.