we dont want kadhi court to be included in our new constitution because we know gvt of Tanzania is free from religious matter! Kadhi in constitution for what????
Polen xana ifunda mara vitabu vimeungua, mmetafta kwa shda mwaharibu wenyw, ni sheeeeda! I thank God hapo iringa girls ni raha tupu, adabu kwa wanafunz na walmu, mkipata shida mnashirikiana kutatua igen hapo bas hzo vurugu mwajiharibia wnyw, hayo ni maisha yenu co walm! By 4m six leaver iringa...
hiv ww unajielewa kwel?? Au unaandka ukiwa umevurugwa kdogo?? Inawezekanaje aliyefel kumfundsha mtu akafanya vzr??
Hzo dharau zenu zinawafanya mnapata laana zszo za msing! Ctak ujue mm n nan lakn hapa nlpo nicngefka bila mwl namheshm sana mwl wangu kama navomheshm mzaz wang, co n vzr ukabadlka...
hivi unajua maana halisi ya katiba?? Hebu nkueleweshe kila mwananchi ni lazima atii na kufuata kilichomo ndan ya katiba, na lolote lililomo ndan ya katiba laweza mfunga mwananhi yyte apatikanapo na kosa! Sasa hiyo mahakama ya kadhi ni ya nn kwenye katiba kama haiwahusu watanzania wote??? Na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.