Ata mim apo ndo natatizika kiukweli maana mwanzon kasema mwishoni mwa mwez wa 10 time hii anasema vyuo lazma vianze mwez 10. kharifa kiukweli EQUATION zako hazija balance vzr
Uyu Nae vip Aseeh!! mwishon mwa mwez wa 10 ?? alafu kharifa !!! mungu anakuona ujue unaleta USAMJO sio wakati wa utani ujue hatuna spea za mioyo alaah!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.