Recent content by Luggy

  1. L

    Msaada tafadhari: Tiktok inamfundisha shemeji yangu ushoga

    kama hii ni kweli basi akae mbali na watoto wako
  2. L

    Mzee Kikwete kwenye hili umekosea kiapo chako na historia itahukumu

    Tunaongozwa naKatiba ua kwa Mila na desturi za CCM?,hizo mila na desturiza CCM ni zipi...is abduction among them?
  3. L

    Naombeni Ushauri wakubwa: Nina mpango kuoa Binti wa Kimeru Dada yake Maghayo

    kama kufunga ndoa ndo kujizuia na zinaa basi walioa/kuolewa wasingekuwa wazinzi
  4. L

    Kujazwa Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha ni raha ya ajabu!

    Ni raha ajabu,sineni kwa lugha ila kuna zile encounters za Holly Spirit yaani hata ukiwa na matatizio yamekuzunguka unakuwa na raha ya ajabu.Huenda maisha yangekuwa marahisi sana na matamu kama tungeruhusu Holly Spirit kuflow...
  5. L

    Wapinzani wa Samia mna ugonjwa wa akili. Mtu mwenye akili timamu anawezaje kuaminishwa mtungi wa gesi asilia unauzwa chini ya dola 1 ?

    kwa hiyo mnabishana na mtu aliyeishi huko?,unajua viwango vya mishahara vya Cuba?,bei zikiwa kama huku wetu maana yake mshahara wa mtu unaweza ishia kununua gesi. Since 2018, the average monthly income of employees in state-owned and mixed enterprises in Cuba has more than quintupled, from 777...
  6. L

    Zijue tofauti za kihuduma na Maslahi kati ya Zanzibar na Tanganyika

    Nyerere aliwaza nn kuhusu huu Muungano?
  7. L

    Ostadhi kabananishwa na wanafunzi wa Madrasa juu ya Yesu kuwa Muislamu

    hv Waisilamu wanamtaja Yesu yupi wakati hawaamini kama Yesu alikufa,kufufuka na kupaa Mbingini,bila shaka wana yesu wao,lkn si huyu ambye Wakristo tunamtambua
  8. L

    Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

    Huyu ndo chanzo cha yote,Msoga ni `chawa `wake tu,tukimuondoa huyu ttauwa tumetatua tatizo kubwa
  9. L

    Ukweli mchungu: Maombi ya kujionesha, hata kama ni ya siku tisa (Novena), Mungu hayasikii

    mimi sio Mkatoliki,mbona Makanisa mengine huwa wanaitsha maombi na lengo la maombi hayo husemwa?,tatizo ni Kanisa Katoliki ?
  10. L

    Kwa nilivyo mdharau Polepole sikutegemea anaweza kuongea kitu kiniathiri Kisaikolojia namna hii!!

    amepiga kura kwa ajili ya watu kula...daaah,ipo siku lakini
Back
Top Bottom