Recent content by luganolugy

  1. luganolugy

    Hii ndio janja ya heslb au?

    Ukiingia kwenye account sio kwambaaa ndo una apply upya bali unahakiki data zako kama ni za kweli ama zilikosewa wakat wa kujaza mara ya kwanza cha muhim we angalia zile form za mikopo ulizotoa kopi kablaya kutuma bodi ya mikopo kama zina taarifa kamili ama ulidanganya wewe mwenyewe nadhan...
  2. luganolugy

    ARTISTS wengi ni watoto wa masikini

    Mi naona watoto wa masikini wengi ni artist [emoji439] kwa sababu wanasoma SHULE za kata ambazo hata miundo mbinu mfano maabala ni mibovu hivo wakitoa priority kwa science badoo watoto wa masikini wanakandamizwa na wakikosa MKOPO watarudi kijijini NDOTOOOO zaoo zinafeli ni mtazamo wangu vipi wewe
  3. luganolugy

    Siri ya maisha kitabu emmanuel mbogo

    Nisaidieni jinsi ya kupata kitabu cha siri ya maisha kitabu emmanuel mbogo download sorry kwa usumbufu
  4. luganolugy

    Hali ngumu mwaka wa Kwanzaa

    Maisha yatakuaje vyuoni hasa mwaka wa Kwanzaa MAANA wanafunzi wengi tunatoka familia za wenye uwezo wa chini Wazazi wetu walitegemea tumefaulu vizuri na lazima tupate MKOPO kumbe mh daaaaa Wengi tunaacha vyuo coz ya pesa
  5. luganolugy

    MIKIFILIA NA KUKUMBUKA MAISHA YA SKUULI

    Daaaaa pindi nipo school advance nilijituma kusoma ili nipate chuo cha government na chenye haz but TCU shikamooo mmekata NDOTOOOO za wadau amna namna Haya nao Bodi ya mikopo nao wanataka kuvuruga kabisa coz hawatuambii nin kinaendelea But never give up tumain lipo
  6. luganolugy

    Karbu

    https://chat.whatsapp.com/IxJzMYmzLLsJxY4XIfycVR
Back
Top Bottom