Recent content by lufungulo k

  1. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba mobile no ya Mh Dotto Biteko naibu waziri Mkuu Maana Tanesco mmeshindwa kutatua tatizo langu SIWAPENDI.
  2. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba mwenye no ya simu ya Mh Dotto Biteko
  3. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco Tanesco Tanesco !! Tafadhali nirudishieni fedha yangu , HAIWEZEKANI dunia ya sasa mkae na fedha zangu kwa miezi 4. Nasikiliza matangazo yenu mkiwahimiza wateja wenu wenye madeni walipe madeni yao nami NILIPENI fedha zangu.
  4. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Claim # 8646018 nipeni jibu nahitaji mrudishe fedha zangu miezi 4 inatosha kuelezea BUSSNESS AS USUAL .
  5. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    # 8646018 hiyo ni kumbukumbu number mliyonitumia kwa ajili ya taarifa ya tatizo langu toka mwezi APRIL . Tafadhali nirudishieni fedha zangu.
  6. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    April 24, 2025 majira ya saa 05:28 nilinunua umeme kimakosa badala ya kununua umeme wa tsh 20,000/= nikanunua wa tsh 200,000/= Tarehe hiyohiyo saa 05:49 nikafanya mawasiliano na Tanesco CC na kujulisha kadhia hiyo kwa qjili ya kurekebisha na kurejeshewa salio langu. Saa 05:55 Tanesco Mkanijibu...
  7. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Qhsante TANESCO leo, nimepata huduma ya Mita mpya baada ya ile ya zamani kuondolewa katika mfumo. Nimew3kewa UNIT 10. naomba maelekezo maana kila nikijaribu kununua umeme kwa sasa HAUKUBALI.
  8. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kubadilishiwa mita iliyopitwa na wakati inachukua muda gani? Baada ya kutoa taarifa.
  9. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Niko mkoani Morogoro nimemtuma mtu, amekwenda kutoa taarifa mara mbili na leo amekwenda tena. Wanapokea taarifa HAKUNA mrejesho. Nb: waliwahi kupita pale na walimkuta binti yangu ambaye aliniunganisha nao wakanieleza wanataka kubadilisha hizo mita nikawapa ruhusa lkn waliondoka bila kubadilisha...
  10. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania Wenye Nyumba kaeni kitaalamu: Kama mpangaji wako atakutwa na dawa za kulevya nyumba yako itataifishwa!

    Kwanini MWANANCHI apewe tabu katika Taifa lake lililo na UWAZI NA UKWELI unaohubiriwa na viongozi wake? Nini maana ya viongozi wa serikali ya mitaa ? Tunakwenda kufanya CHAGUZI kwa ajili ya nini? Sheria hii IBADILISHWE iwe ya kwanza KUTAMBUA nguvu za viongozi wa mtaa!! AMBAO tunaishi nao...
  11. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kuna tatizo nyumbani kwangu MBAGALA NZASA KWA MWARABU MTAA WA ATALANTA H/NO 10 . MITA NO 24210335501 imegoma kununua umeme leo ni siku ya Pili. Walipita mafundi wa Tanesco kiasi miezi miwili imepita na kuahidi kuibadilisha lkn hawakubadilisha NAOMBA msaada.
  12. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania Anayejua dawa nzuri ya mchwa

    Dar es Salaam kwa urahisi naweza ipata wapi?
  13. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania Vifaranga vya kuku vimekufa vyote tatizo ni nini wengine hata vichwa hawana

    Nimeingia bandani na kukuta hali hiyo nimechanganyikiwa kabisa
  14. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania Jamani nisaidieni dawa viroboto vimeingia ndani kwangu

    Ukikwama tumia mafuta ya taa, nyunyiza nyunyiza maeneo husika!!
  15. lufungulo k

    JamiiForums Tanzania TCRA nahitaji Mrejesho

    Tatizo linaanzia hapa !!
Back
Top Bottom