Wataangalia grade zao corresponding na requirements za chuo wataofikia vigezo watachukuliwa Ila hawatapangwa wa kwanza hadi wa mwisho, fikiria kama wanataka 20 na darasani Kuna wanafunzi 15 lakini ote hawajafikia grade zinazohitajika Ila Kuna wa kwanza hadi wa mwisho, unadhani watawachukua kwa...
Wanapata scholarship kwa kuangalia grades alizopata mwanafunzi kwenye masomo yake sio kwa kuangalia nani ni wa kwanza, mwanafunzi anaweza kua wa kwanza na ana average ya 50%. Niliwahi kugombezana na dada yangu alikua anamchapa mtoto kisa amekua wa 20 lakini ana wastani mzuri wa 88%.
Tatizo wengi hapa hawana exposure na mfumo wa elimu wa nje ya Tanzania. Kuwa rank wanafunzi hakuna faida yoyote kwa mwanafunzi wala mwalimu, wanafunzi wanatofautiana kuanzia background zao hadi uwezo wao wa kawaida wa darasani, ndio mana kwenye mifumo ya elimu ya kimataifa mwalimu ni lazima...
Nakuunga mkono hata international schools zilizopo hapa hapa nchini hazina huo utaratibu wa kupanga mtu wa kwanza hadi wa mwisho, matokeo yanatolewa kwa grade alizopata mwanafunzi husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.