Kweli wanaofanya hivo wanamoyo sana. Anayefanya na anayefanyiwa wote hovo tu.
Hii issue inafanya ndoa zingine zinavunjika sana kwaajili hii.
Mwenyezi mungu atunusuru n hili balaa
Urembo sawa lkn wengine wanazidi jamani ahata uhalisia wa rangi ya binadamu inapotea
Niliwahi kumuona mdada airport walahi hiyo foundation kama zege mpaka linatia kinyaa
Mimi mashallah am blessed with nice skin only i need ni powder an lighy lips shine nothing else na nyusi zangu natengeeza my...
Nyie ndo mnavutiwa na mapambo yao ndo maana yako hivo
Wanaume sku hizi ukiwa natural hata haungaliwi
Mpaka ujichubue na makalio y bandia kila kitu fake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.