Recent content by luckers

  1. luckers

    demaged sd card

    asante ngoja n try that maana daah inaniumaaa
  2. luckers

    demaged sd card

    dah yaan kama yang na mm ni p5
  3. luckers

    demaged sd card

    napenda kuwapongeza kwa kazi ya kuelimisha umma naomba kufahamishwa namna ya kusolve tatizo la sd card demaged maana 8gb yang haisomi kwenye smu naambiwa niireformat ila nkijaribu haikubali kufomatika asanten
  4. luckers

    Naomba kufahamishwa

    kati ya money gram na western union naomba maelezo kuhusu apoo
  5. luckers

    Naomba kufahamishwa

    natanguliza shukuran zangu za dhati kwenu kwani hii ni.sehemu.pekee nayowezaa kuongea kuthubutu kuongea kwa ujasir hoja:naomba kufahamishwa ni njia gani ni rahisi kutuma pesa brasil kwani kuna ndugu yang uko nataka aninunulie sd card maana yang imekuwa DEMEGED sasa kaniambia 16 GB ni shilling...
  6. luckers

    Hii siyo Editing Ni real

    nzurrr sana
  7. luckers

    Ipi ni combination nzuri kati ya HGE,HGL na HKL

    asanten wakuu ila sasa na mimi naona HGE ni nzuri na nitaimudu lakin mzazi kaniambia ni mwambie ni kwa nini nasoma hiyo comb na ntachukua fact gani chuo kikuu na kuhusu ajira na sehemu pekee nayoweza kupata ni hapa jukwaani naomba kusaidiwa wakuuuu
  8. luckers

    Ipi ni combination nzuri kati ya HGE,HGL na HKL

    habari ndg naomba kupewa msaada apa wakuu naitaji kwenda kusoma form v nimepata Hst c geo d math c engl b kiswahil b civics c biology d nilikua nadhani kuwa HGE iko sawa ila nikaona niwasilishe kwa wadau kwanza mnipe mawazo na nini cha kufanya hasa tukiangalia swala la ajira na fact za chuo...
  9. luckers

    Silver spray

    asante sana......tena sana
  10. luckers

    Silver spray

    issue ni kuwa umeelewa concept au hamna s dat all
  11. luckers

    Silver spray

    yashakua ayo bro kama hutaki kucomment its better ungeacha sio kufanya vitu vya ajabu isitoshe ata spray huifahamu
  12. luckers

    Silver spray

    error typing ni ndogo
  13. luckers

    Silver spray

    habari naomba kufahamishwa kuwa silver spray ya gar ila ndogo naweza kuipata kwa bei ngap ahsanten
  14. luckers

    Naomba....msaada

    poa mkuu nshaipata thanks
Back
Top Bottom