Ana stress za kutoendelea na masomo muache atulie kwanza ukae kimya kama mwaka hivi kisha umtafute na umueleze kuhusu lengo lako kwake. Kama atakua bado not occupied.
Mpe pole ila asimpeleke mtoto kwa mme. Ajitahidi amlee mwenyewe. Pia aendelee kutafuta kazi yenye maslahi zaidi ya hiyo. La mwisho awashirikishe ndugu na rafiki zake wa karibu anaweza pata chochote.
Habari wana jf,
Kama mnavyojua kesho sikukuu nataka nipike pilau. Nimenunua viungo ila sivijui vizuri. Pia naomba kujua kama pilau masala ya Zanzibar ni nzuri kwa pilau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.