Recent content by LUCHESI

  1. L

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

    Huoni tatizo ? Kikazi kinachojiona ni special katikati yenu kitakuja kuwachinja. Wataishi wakijitenga, kutafuta maslahi yao na kukusanya nguvu za kiuchumi, kisiasa na kijeshi. Siku mkishtuka mkawapinga wanakuja kuwachinja. Kwa nn Polepole ameuliwa ? Na ameuliwa baada ya kumsema vibaya nani...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na ukimya wa viongozi wa kijamii: Je, Tanzania inaingizwa kwenye mtego wa machafuko ya kisasa? Kina Pasco Mayalla wako wapi?

    What a nut job. Watu wameuliwa kwa maelfu na maelfu, unasema hakuna vita ya mizinga bali vita ya kidigitali na kihisia na kimtandao. You need a frontal lobe bypass.
  3. L

    JamiiForums Tanzania CCM yakana Polisi kuingilia Siasa na wao kupewa upendeleo na Polisi

    Hilo linawezekana. Lakini pia si ajabu ubongo hakuwa nao tangia hapo. Si ndo huyu alitimuliwa na Baki Moon ? Samia alishamhoji, akamjua - kwamba ni mtupu - kabla ya kumpa hicho cheo amtumie. Lakini la tatu hawa watu they are senile, mental decline due to age, wameshazeeka, ubongo nao...
  4. L

    JamiiForums Tanzania "Who are you" itamgharimu sana Rais Samia kidiplomasia

    Labda hili lilikupita. Hulijui. Mwezi mmoja uliopita takriban, Samia aliongea Ikulu kwa mdomo wake akasema, diplomatic deputies wakimwambia hapo hupaswi kuongea hivyo anawa blow off, anawaambia "hayo ya diplomasia ni ya kwenu nyinyi, mimi nabwatuka tu." Sasa kwa nini useme washauli...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Omar Mahita: Nilikuwa IGP katili sana

    Aisee ndio huyu alikulaga dada wa kazi mpaka wakazaa? Umemsikia kwenye interview anasema hata wasaidizi wa ndani ukiwachekea watakuzoea sana. Nikajua ni zee moja lina integrity na seriousness kali, kumbe linacheza nao mpaka linavuana nao nguo na halivai condom, mpaka linazaa nao Jitu...
  6. L

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    Ted Cruz hawezi kuwa Myahudi na jina la Ki-Spanish wewe big dummy! Babaake ni M-Cuba! Alikuwa pastor. Huo muswada ukifika kwa Trump na msukumo wa Ted Cruz unasainiwa fasta tu...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi aichana CHADEMA kwa kufanya burudani za Bongo Fleva na kuchinja ng'ombe wakati tuna majonzi

    Unafiwa na wazazi na bado unacheka maishani. Unacheka na aliyemuua mama yako ??? Use your noodles.
  8. L

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi aichana CHADEMA kwa kufanya burudani za Bongo Fleva na kuchinja ng'ombe wakati tuna majonzi

    Msibani kuna mziki lakini hakuna mziki wa "Wanamwita Suguuuu." Mange asijikite kwenye siasa za ndani za chama lakini wewe unaweza kujikita ??? Kwani we nani kwenye chama ??? Kwa nini Mange asijikite ? Wananchi tunataka CHADEMA watusikilize tunachokitaka kwa sasa. WE AIN'T TRYING TO HEAR...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi aichana CHADEMA kwa kufanya burudani za Bongo Fleva na kuchinja ng'ombe wakati tuna majonzi

    Sio kweli kwamba walikuwa wanasubiri watu. Mwimbo ulipigwa mzungumzaji akiwa tayari jukwaani amesimama, yani Sugu, na yeye aka densi jukwaani. Labda iseme DJ alimu ambush na mziki. Ikabidi acheze. Mara chache chache nimwemwona Lissu akim shut down DJ anapochomekea vaibu ambazo Lissu...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi aichana CHADEMA kwa kufanya burudani za Bongo Fleva na kuchinja ng'ombe wakati tuna majonzi

    Mange Kimambi, mmoja wa wahamasishaji wakuu wa maandamano makubwa yaliyopelekea umwagaji damu Oct 2025, amewashutumu CHADEMA kwa kuendesha mikutano "yenye vibe" za miziki ya bongo fleva ikiwemo nyimbo za "Wanamwita Sugu." Amewaasa CHADEMA kwamba hakuna mwananchi atajipeleka kwenye hatari za...
  11. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    Kwa nini JF imebadilisha na kulaunisha maneno ya Chatanda ?????? Hakusema angeimaliza CHADEMA Hiyo ingekuwa ni kauli ya kisiasa ya kawaida. Kasema hajui kama wale watu wangekuwepo. Journalism ndio inafundisha kutuandikia tafsiri zako wewe muandishi ???? SIO CHAMA, WALE WATU WASINGEKUWEPO
  12. L

    JamiiForums Tanzania Raia wa China auawa na Walinzi wa Kampuni yake na kuondoka na Tsh Milioni 10

    Yeeees ! Acha Mchina aokote makopo yake na kuuza njugu barabarani Anaesafisha vyoo Uingereza sio Mwingereza! Makazi mabaya mabaya ya mishahara kandamizi kwa nn useme nimetengewa mimi Mzawa ?????????? Next time ukisafiri nje ya Afrika chunguza hapo airport anaefagia ni nani ???? Waafrika...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Boni Yai jukwaani Kahama: Achambua "mikataba ya day waka" ya CCM kwa Jeshi la Polisi, ajira zao, vyeo, mishahara, pensheni kandamizi

    Jeshi linalotumwa kuwalindia madaraka Askari mwenye V tatu Mshahara 625,000 /= baada ya makato Huna V hata moja 228,000/= Hii iliongezwa kutoka 215,000/= Kupanda vyeo labda jeshini, polisi ni nadra Mkataba wa ajira kama huna nyota moja ni miaka mitatu mitatu tu. Day waka ! Miaka 6 ya...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Raia wa China auawa na Walinzi wa Kampuni yake na kuondoka na Tsh Milioni 10

    A wake up call to all Chinese aliens in the country. And Arabs and Indians and all foreign plantation owners writ large. You can not get rich by comfortably using natives of a host country to pick up trash can recyclables for your businesses. You the foreign alien should be the ones doing the...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo hayati JPM asingeruhusu waziri wake aaende Bungeni na mkoba wa mil 14 hata kama ni mkwe wake

    Sio kwamba uumbaji wa Allah una tatizo kwa hawa viongozi. Exposure ndio tatizo. Mchengerwa na mamilioni ya raia - wanaoona mkoba hauna tatizo - hawajui duniani kwengine huko nini kinaendelea. Utawala bora kwa wenzetu ni nini, hawajui. Mchengerwa hajui Ulaya wanamundikaje kwenye magazeti...
Back
Top Bottom