Huoni tatizo ?
Kikazi kinachojiona ni special katikati yenu kitakuja kuwachinja.
Wataishi wakijitenga, kutafuta maslahi yao na kukusanya nguvu za kiuchumi, kisiasa na kijeshi. Siku mkishtuka mkawapinga wanakuja kuwachinja.
Kwa nn Polepole ameuliwa ? Na ameuliwa baada ya kumsema vibaya nani...
What a nut job.
Watu wameuliwa kwa maelfu na maelfu, unasema hakuna vita ya mizinga bali vita ya kidigitali na kihisia na kimtandao.
You need a frontal lobe bypass.
Hilo linawezekana.
Lakini pia si ajabu ubongo hakuwa nao tangia hapo. Si ndo huyu alitimuliwa na Baki Moon ?
Samia alishamhoji, akamjua - kwamba ni mtupu - kabla ya kumpa hicho cheo amtumie.
Lakini la tatu hawa watu they are senile, mental decline due to age, wameshazeeka, ubongo nao...
Labda hili lilikupita. Hulijui.
Mwezi mmoja uliopita takriban, Samia aliongea Ikulu kwa mdomo wake akasema, diplomatic deputies wakimwambia hapo hupaswi kuongea hivyo anawa blow off, anawaambia "hayo ya diplomasia ni ya kwenu nyinyi, mimi nabwatuka tu."
Sasa kwa nini useme washauli...
Aisee ndio huyu alikulaga dada wa kazi mpaka wakazaa?
Umemsikia kwenye interview anasema hata wasaidizi wa ndani ukiwachekea watakuzoea sana.
Nikajua ni zee moja lina integrity na seriousness kali, kumbe linacheza nao mpaka linavuana nao nguo na halivai condom, mpaka linazaa nao
Jitu...
Ted Cruz hawezi kuwa Myahudi na jina la Ki-Spanish wewe big dummy!
Babaake ni M-Cuba!
Alikuwa pastor.
Huo muswada ukifika kwa Trump na msukumo wa Ted Cruz unasainiwa fasta tu...
Msibani kuna mziki lakini hakuna mziki wa "Wanamwita Suguuuu."
Mange asijikite kwenye siasa za ndani za chama lakini wewe unaweza kujikita ??? Kwani we nani kwenye chama ??? Kwa nini Mange asijikite ?
Wananchi tunataka CHADEMA watusikilize tunachokitaka kwa sasa.
WE AIN'T TRYING TO HEAR...
Sio kweli kwamba walikuwa wanasubiri watu.
Mwimbo ulipigwa mzungumzaji akiwa tayari jukwaani amesimama, yani Sugu, na yeye aka densi jukwaani.
Labda iseme DJ alimu ambush na mziki. Ikabidi acheze.
Mara chache chache nimwemwona Lissu akim shut down DJ anapochomekea vaibu ambazo Lissu...
Mange Kimambi, mmoja wa wahamasishaji wakuu wa maandamano makubwa yaliyopelekea umwagaji damu Oct 2025, amewashutumu CHADEMA kwa kuendesha mikutano "yenye vibe" za miziki ya bongo fleva ikiwemo nyimbo za "Wanamwita Sugu."
Amewaasa CHADEMA kwamba hakuna mwananchi atajipeleka kwenye hatari za...
Kwa nini JF imebadilisha na kulaunisha maneno ya Chatanda ??????
Hakusema angeimaliza CHADEMA
Hiyo ingekuwa ni kauli ya kisiasa ya kawaida.
Kasema hajui kama wale watu wangekuwepo.
Journalism ndio inafundisha kutuandikia tafsiri zako wewe muandishi ????
SIO CHAMA, WALE WATU
WASINGEKUWEPO
Yeeees !
Acha Mchina aokote makopo yake na kuuza njugu barabarani
Anaesafisha vyoo Uingereza sio Mwingereza!
Makazi mabaya mabaya ya mishahara kandamizi kwa nn useme nimetengewa mimi Mzawa ??????????
Next time ukisafiri nje ya Afrika chunguza hapo airport anaefagia ni nani ????
Waafrika...
Jeshi linalotumwa kuwalindia madaraka
Askari mwenye V tatu
Mshahara 625,000 /= baada ya makato
Huna V hata moja 228,000/=
Hii iliongezwa kutoka 215,000/=
Kupanda vyeo labda jeshini, polisi ni nadra
Mkataba wa ajira kama huna nyota moja ni miaka mitatu mitatu tu. Day waka !
Miaka 6 ya...
A wake up call to all Chinese aliens in the country. And Arabs and Indians and all foreign plantation owners writ large.
You can not get rich by comfortably using natives of a host country to pick up trash can recyclables for your businesses. You the foreign alien should be the ones doing the...
Sio kwamba uumbaji wa Allah una tatizo kwa hawa viongozi.
Exposure ndio tatizo.
Mchengerwa na mamilioni ya raia - wanaoona mkoba hauna tatizo - hawajui duniani kwengine huko nini kinaendelea. Utawala bora kwa wenzetu ni nini, hawajui.
Mchengerwa hajui Ulaya wanamundikaje kwenye magazeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.