Nyerere alikuwa na husuda kwa wazungu na machotara. Watoto wote wa mikoani waliopata shule Dar walikuwa hawana pa kukaa. Tena watoto wadogo wa sekondari. Sembuse huyu jidada la chuo. Nyerere alimwona huyu tu ?
Na huyu jibibi nae pamoja na kukulia Ikulu na kuwa Waziri wa Sheria na Jaji...
Enheeee... hapo ndo sipaelewi hapooo...
Yani uwepo wa Tanganyika unahatarisha CCM kivipi ????
Kwani si watarudi kuwa TANU na ASP ?
Tena TANU, neno TANU halina mawaa na ukakasi kwenye masikio ya watu. Neno CCM linanuka uchafu wa kila aina na kuanzia mwaka jana neno CCM linanuka damu. CCM...
Allkuwa ndani miezi nane angewezaje kushawishi ?
Basi anawazidi sana uwezo wa hoja na kukubalika na ushawishi kama akisema kitu kinakumbukwa na mamilioni ya watu na kinatekelezwa miezi nane baada ya kutamka. Msimfunge. Anastahili kuwa kiongozi.
Ni tunu ya Taifa, mmetunukiwa na Mungu...
JIBU SWALI
Mwanzo 15 niliyotaja mimi inatamka Middle East nzima kupewa Israelites.
Wewe umetoa mstari tofauti unaotaja mipaka tofauti, Kaanani tu!
Nakuuliza sasa, wewe Mhubiri. Ni nchi gani, eneo gani, mipaka ipi twende nayo kati ya hiyo miwili kwenye biblia?
Umeelewa swaliiii ...
Enhee... usitoe historia za upande mmoja tu ili kubeba agenda zako...
na Mwanzo 15 : 18 imesemaje ? Middle East yote wamepewa wao! Kuazia Mto Nile mpaka Mto Euphrates ( Iraq kule)
Sasa tushike lipi tuache lipi ??
2. Kuhusu Palestinians kuvamia eneo. Jibu hili:
Wakati wana wa Israeli...
Ndio, nina stress za familia, serikali imemwaga damu ya vijana wangu.
Halafu tuna wananchi complete and utter dunderheads, mnaona ni hali ya kawaida. Hamna elimu ya uraia, watu wapo wapo tu duniani, wamelala wameamka, wamekula sembe, wamekunywa juisi za muwa, wanaona ni hali ya kawaida...
Mchambuzi chizi, mwana historia uchwara kutoka dunia ya tatu - tulikozoea ukandamizaji wa serikali dhidi ya raia wake - unatoa historical snapshot ya migogoro ya miaka 40 ya nchi halafu unasahau kutaja matukio ya nchi kuua raia wake yenyewe tena na tena, na uwepo wa utawala uliokalia madaraka...
Au hata wa humu humu tu, jeda watano wanaotafuta miili ya watoto wao kama wange maindi. Wanawamwaga bandama wote. We huoni siku hizi kila mara anatafuta tukio kwenda kuwapa lecture wasimgeuke ??
Kutunza siri na mali za familia ya nani ???
Mombo, Mafwele Muliro na Nkunda wanakaa kikao kumsimika Abduli lii kulinda siri za familia ya nani?
Wao wana benefit vipi ni siri na mali za familia ????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.