Recent content by LUCHESI

  1. L

    TANZIA Jaji mstaafu Julie Manning afariki Dunia

    Nyerere alikuwa na husuda kwa wazungu na machotara. Watoto wote wa mikoani waliopata shule Dar walikuwa hawana pa kukaa. Tena watoto wadogo wa sekondari. Sembuse huyu jidada la chuo. Nyerere alimwona huyu tu ? Na huyu jibibi nae pamoja na kukulia Ikulu na kuwa Waziri wa Sheria na Jaji...
  2. L

    Je, kupeperusha bendera ya Tanganyika kunaweza kuonekana ni uchochezi?

    Enheeee... hapo ndo sipaelewi hapooo... Yani uwepo wa Tanganyika unahatarisha CCM kivipi ???? Kwani si watarudi kuwa TANU na ASP ? Tena TANU, neno TANU halina mawaa na ukakasi kwenye masikio ya watu. Neno CCM linanuka uchafu wa kila aina na kuanzia mwaka jana neno CCM linanuka damu. CCM...
  3. L

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Nyumba hainaga hati Just saying
  4. L

    PostGE2025 Vurugu za Oktoba 29 zilifanywa na wanaCCM waliopinga rais Samia kupitishwa na mstaafu Kikwete bila mkutano mkuu, sio CHADEMA

    Allkuwa ndani miezi nane angewezaje kushawishi ? Basi anawazidi sana uwezo wa hoja na kukubalika na ushawishi kama akisema kitu kinakumbukwa na mamilioni ya watu na kinatekelezwa miezi nane baada ya kutamka. Msimfunge. Anastahili kuwa kiongozi. Ni tunu ya Taifa, mmetunukiwa na Mungu...
  5. L

    Israel ni nchi ya Wayahudi, soma Hesabu 34:1-15

    JIBU SWALI Mwanzo 15 niliyotaja mimi inatamka Middle East nzima kupewa Israelites. Wewe umetoa mstari tofauti unaotaja mipaka tofauti, Kaanani tu! Nakuuliza sasa, wewe Mhubiri. Ni nchi gani, eneo gani, mipaka ipi twende nayo kati ya hiyo miwili kwenye biblia? Umeelewa swaliiii ...
  6. L

    Israel ni nchi ya Wayahudi, soma Hesabu 34:1-15

    Enhee... usitoe historia za upande mmoja tu ili kubeba agenda zako... na Mwanzo 15 : 18 imesemaje ? Middle East yote wamepewa wao! Kuazia Mto Nile mpaka Mto Euphrates ( Iraq kule) Sasa tushike lipi tuache lipi ?? 2. Kuhusu Palestinians kuvamia eneo. Jibu hili: Wakati wana wa Israeli...
  7. L

    PostGE2025 Tanzania yakubali Masharti ya Commonwealth kuleta Wachunguzi Huru wa Matukio ya Uchaguzi 2025

    Ataahirisha tena kutangaza ripoti ya tume yake ya matapeli Vinginevyo itaanikwa wazi kwamba majaji wa tume wameandika madudu na uongo mtupu
  8. L

    Makosa makubwa ya Iran ni kuasisi tukio la Oktoba 7, 2023 kupitia Hamas

    Ndio, nina stress za familia, serikali imemwaga damu ya vijana wangu. Halafu tuna wananchi complete and utter dunderheads, mnaona ni hali ya kawaida. Hamna elimu ya uraia, watu wapo wapo tu duniani, wamelala wameamka, wamekula sembe, wamekunywa juisi za muwa, wanaona ni hali ya kawaida...
  9. L

    Makosa makubwa ya Iran ni kuasisi tukio la Oktoba 7, 2023 kupitia Hamas

    Mchambuzi chizi, mwana historia uchwara kutoka dunia ya tatu - tulikozoea ukandamizaji wa serikali dhidi ya raia wake - unatoa historical snapshot ya migogoro ya miaka 40 ya nchi halafu unasahau kutaja matukio ya nchi kuua raia wake yenyewe tena na tena, na uwepo wa utawala uliokalia madaraka...
  10. L

    Tetesi: Mojtaba Ali Khamenei kumrithi Ayatollah Ali Khamenei baada ya kuuawa baba

    Basi baki unauza matairi. Usitoe vi koment havina kichwa na miguu.
  11. L

    Hivi kwanini Iran huwa hailichukulii kwa uzito suala la usalama wa viongozi wake?

    Au hata wa humu humu tu, jeda watano wanaotafuta miili ya watoto wao kama wange maindi. Wanawamwaga bandama wote. We huoni siku hizi kila mara anatafuta tukio kwenda kuwapa lecture wasimgeuke ??
  12. L

    Tetesi: Mojtaba Ali Khamenei kumrithi Ayatollah Ali Khamenei baada ya kuuawa baba

    Kutunza siri na mali za familia ya nani ??? Mombo, Mafwele Muliro na Nkunda wanakaa kikao kumsimika Abduli lii kulinda siri za familia ya nani? Wao wana benefit vipi ni siri na mali za familia ????
  13. L

    Umoja wa Mataifa wataka Serikali ya Tanzania kumuachia Tundu Lissu. Wasema kushikiliwa kwake ni batili

    Walisema amekuja kuisafisha taswira ya Tanzania. Badala yake ameinyea. Ameua. Amefira. Mbele ya dunia nchi inanuka damu na kinyeshi.
Back
Top Bottom