Recent content by Luccy Godwin

  1. L

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mwalimu wa secondary aje Nachingwea niende mkoa wowote wa kaskazini au mikoa ya kati
  2. L

    wanajamvi eh! na hii

    wadau nina shahada ya ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU YA JAMII naombeni msaada wenu nimezunguka sana kutafuta kazi bila mafanikio plz nipeni mwelekeo maisha magumu
  3. L

    Nahitaji mwalimu tubadilishane vituo vya kazi

    vp Nachingwea Panakufaa kama vp tuwasiliane
  4. L

    Nahitaji mwalimu tubadilishane vituo vya kazi

    vp Nachingwea panakufaa?
  5. L

    Mwanajf usikose kusoma hapa

    Asante kwa ushauri wako mzuri, vp na huduma za umeme, maji na barabara?
  6. L

    Udom yainyima raha udsm, je kulikua na sababu ya haya yote? Jibu ni ndio.

    hao madogo wa Udom wanajuta TCU kuwapeleka huko Dodoma wanayoyaandika ni namna tu ya kupunguza machungu vp boom mmepewa kweli msije mkawa mna njaa ndio maana blablaa nyingi!
  7. L

    Natafuta social work kwenye NGOs

    Mwambie huyo akumbuke DUNIA ni duara
  8. L

    Natafuta social work kwenye NGOs na MASHIRIKA BINAFSI

    mkopo niliosomea degree bado sijalipa hela ya kuendelea kusoma nitapata wapi?
  9. L

    Natafuta social work kwenye NGOs na MASHIRIKA BINAFSI

    wangenipangia shule za kata ningeenda lakini nimeomba ajira wakanichinjia baharini
  10. L

    Tunahitaji mafundi magari kwa haraka (magari makubwa na madogo)

    Me nina uzoefu wa miaka mitano lakini sina cheti
  11. L

    Natafuta social work kwenye NGOs na MASHIRIKA BINAFSI

    hawajatuajiri tumefuatilia wanasema hatustaili kufundisha secondari
  12. L

    Msaada wa kazi ndugu watanzania wenzangu.

    Watanzania tumekusikia kama yupo anayekuhitaji atakupigia bt usikate tamaa endelea kujaribu shule za private na mashirika binafsi hope utapata
  13. L

    Natafuta social work kwenye NGOs

    Asante kwa kunisaidia ndugu yangu jamaa hasomeki uwezo wake wa kufikiri umeishia kwenye the thn he posses btn his legs not otherwise
Back
Top Bottom