wadau nina shahada ya ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU YA JAMII naombeni msaada wenu nimezunguka sana kutafuta kazi bila mafanikio plz nipeni mwelekeo maisha magumu
hao madogo wa Udom wanajuta TCU kuwapeleka huko Dodoma wanayoyaandika ni namna tu ya kupunguza machungu vp boom mmepewa kweli msije mkawa mna njaa ndio maana blablaa nyingi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.