Hujitambui wewe.
Rais ambaye tatizo la umeme lilikwisha, watu wakavuta nguzo za umeme kwa 27000/= , Rais aliyewashughulikia ipasavyo mafisadi, Rais aliyewabana watumishi wakawajibika, Rais aliyejenga miundombinu mikubwa ya barabara, madaraja na bwawa la umeme, Rais aliyekuwa anafanya kazi usiku...