Recent content by Lucas Julson

  1. Lucas Julson

    “Kama tunatoa ripoti na kuna ubadhirifu na hatua hazichukuliwi, huo kwangu ni udhaifu wa Bunge." Sehemu ya nukuu ya Professor Assad

    “Kama tunatoa ripoti na kuna ubadhirifu na hatua hazichukuliwi, huo kwangu ni udhaifu wa Bunge. Bunge linatakiwa lisimamie na kuhakikisha kwamba pale penye matatizo, linahakikisha kuwa hatua zinachukuliwa. Sasa, sisi kazi yetu ni kutoa ripoti tu,” Professor Assad aliyekuwa kuwa CAG Wakati...
  2. Lucas Julson

    SoC04 Malezi endelevu initiative (MEI) ni suluhu mzizi wa kujenga Tanzania imara na endelevu

    UTANGULIZI. MALEZI ENDELEVU INITIATIVE (MEI) ni wazo la kuandaa mfumo kamili wa kumlea Mtoto wa kitanzania kabla ya kuzaliwa, kuzaliwa mpaka utu uzima ili kujenga Tanzania imara na endelevu. MEI inalenga kumuandaa Mtoto katika nyaja mbalimbali kama; Kimwili Kiroho Kiakili Kiuchumi Kijamii...
  3. Lucas Julson

    Tupe maoni, ushauri, dokezo: Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Makundi Maalum

    Ahsante sana kwa nafasi hii Ninauliza Wizara ina mikakati gani madhubuti ya kutibu tatizo la single mothers na Single Fathers maana tunakoelekea inakuwa kama utamaduni
  4. Lucas Julson

    Kilimo cha nyanya msimu wa 2021/2022

    Msaada wa kuunganishwa group la wakulima wa nyanya 0752060960
  5. Lucas Julson

    Muungano ukivunjika na Zanzibar itavunjika

    Daaah, tuendelee kula mtori tu
  6. Lucas Julson

    Dkt. Mwigulu: Deni la Taifa limeongezeka hadi Tsh. Trilioni 79.19, bado ni himilivu

    Hivi ni fahari kufurahia hili la bado tunakopesheka ili hali deni linapaa??
  7. Lucas Julson

    Tatizo lolote la PC/device

    Habari, naomba msaada wa product keys for windows 7 professional
Back
Top Bottom