Hayo mbona kawaida.. nafikiri watu wazima ndio wanazipenda sana na hata kuwachochea hata kufanya mapenzi kinyume na maumbile, maana wanayaiga yale wayaonayo kwenye izo movie
Anaweza kua naogopa kutongoza huyu mkuu!
au kama ameisha wahi kucheza ile michezo ya bafuni ndio kabisaa... Maana ile michezo hutia sana hofu kwenye kutongoza na wakati mwingine inafanya mtu kutojiamini.
Mkuu..! Ibadani watu wanachukuana sana.. tena kama walokole ndio huchukuana wenyewe kwa wenyewe, kama sio mlokole utatumia nguvu nyingi sana kumtia nyavuni ambae mlokole... na experience na hii watu
mpododi kazi yake ni nini?
Kichwa chako kimejaa vumbi tu...
watu wanaangalia kichwani.
Wachaga mbona wapo fresh tu... tatizo wewe unaonekana ni b****tch
Tatizo watu hapa wana tazama upande mmoja.
Jamaa hawezi kulupuka na kupiga risasi na kuua.
Huyo mwanamke amezingua sana.
Na hawa viumbe ni hawafai na hiyo ndio dawa yao, liwe na fundisho kwa wengine ambao si waaminifu na wakisapotiwa na mama zao kwa ujinga wanao fanya.
wanawake wanazingua sana, na kufanya mambo yanayotia hasira at the maximum na matokeo yake ndio hayo. na hupewa vichwa na mama zao... na ilo liwe fundisho kwa wana wake wengine wenye tabia za kua kama vinyonga.
R.I.P Mushi njia yetu ni moja.
Kodi hakatwi, utendaji wako mmbovu, hicho anachopata hakistahili.
Maana mtu anatakiwa alipwe kutokana na anacho kiingiza.
Sasa huyu mkuu anacholipwa kinazidi utendaji wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.