Unaona sasa ilo la ulaya ni la wao kufikiria na sisi waafrica ni letu kufikiria,ukiangalia sasa hao wa ulaya dini saiv wanazikacha wakristo ndo kwanza wanafungisha ndoa za mashoga. Dini zao azituhusu sanaaa
Aaah we kubali matokeo tu,muda nao haugandi we endelea na mambo yako potezea tu ishi kama akijawahi tokea kitu baina yenu,,,daaah ila lazma upitie heartbreaks za kutoshaaaaaaa kabla ya kufikabkwenye ndoa😂💔
Dini zipo ila ni za kwao na sisi waafrica tulikuwa na zetu izi zilizopo saiv ni mpya uwa najiuliza hao waafrica waliokuwepo kabla ya izi dini na wao wataona moto just because awakufuata maandiko. Na likija suala la kufunuliwa kimaandiko kwanini wasingekuwepo waafrica ambao wanatangaza dini za...
Kwaio unamsubiri yesu arudi kumaanisha ndo mungu wako na akirudi ndo mungu wako kajifunua kwako😂😂😂 yaaani unashangaza na kuchekesha unamwamini yesu sanaaa kuzid ata mungu unaeamini yupo uoni kama ni upofu huo kwanini yesu asirudi na baba ake,umekaa kumsubiri mtoto ambae bila kujua ndo...
Ety
Mungu muweza wa kila kitu mjuzi wa kila jambo ata kabla ya kutendeka yaani aumbe mwanadamu ili aje amchome moto tena kwa kumpambanisha na uyo shetani aiseee inachekesha yaani waafrica wameshikilia haswa hizi dini na kuzifia na waliletewa aiseee smh😤
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.