Recent content by Loymb

  1. L

    wapiga matarumbeta ikulu wanapga nyimbo ya anaconda Joto hasira

    Mm Wamenikata Moto Kwenye Kwenye Ile Sytle Yake Ya Kupanda Mti
  2. L

    Mnaweka pesa Uswis, mnatibiwa India,Mnajenga London, mnawekeza US Shopping Dubai, Likizo Paris, mkif

    Inawezeka Wanafamilia Huko Mana Hawa Wakina Min Star Wetu Na Ngumu Wao Kunawanoga Sana Kati
  3. L

    PLEASE OBAMA HII NI ZAWADI YANGU KWAKO-NAOMBA UNIACHIE MALIA(am in love with maria obama)

    Iv Watoto Wa Huyu Braza Barack Wanasoma? Mana Muda Mwingi Wanakuwa Kwenye Ziara Na Mshua Wao Au Wanatembea Na Walimu Kwenye Air Force1 Ungekuwa Unajua Shule Wanayosoma Ingekusaidia Kidogo
  4. L

    Nyumba ndogo yangu imeathirika kwa ukimwi ila mimi ni mzima

    man huu ni upuuz una mke nyumbandogo ya nn izo mechi za mchangan tuachie ss mabachelor pia ukimwi hauzuilik hata kwa kondom za bati dawa ni kuacha uasherat kondom zenyewe hamtumii kwa uangalifu sytle nying wakati yenyewe haiitaj usumbufu
  5. L

    Jamani akina dada tuhurumieni basi hata kidogo.....,

    Akiona Hiyo Ndogo Achana Nae Atakusumbua Huyo Kwan Iko Ni Kipimo Tosha Kuwa Ham endani Na Km Mnaendana Hamfanan Pia Shukuru Mungu Hajaoana Mana Akingekuwa Anatoka Hata Na Vizee Ili Vimkamilishie Haja Zake.mbona Wanawake Wako Weng Wavumiliv Na Wengne Wana Kaz Zao Na Pesa Zao Wanaitaj Wanaume Wa...
  6. L

    Baba na Mwana watatoka lini gerezani?

    Wapendwa Naupataje Wimbo Wa Salima Binafsi Naupenda Sana Maana Nimejarib Kupitapita Mpaka Waptrick Sijaupata
  7. L

    kwa tabia hizi walimu mtakufa maskini

    Kuna Jamaa Yang Nae Ni Teacher Yupo Chaka Moja Mbaya Ila Ye Aliingia Loan Km Mil4 Nmb Akanunua Mbolea Na Kuwakopesha Wakulima Kipind Cha Masika Kwa Malipo Ya Mahindi Kipind Cha Mavuno(na Kariba Ka30%) Kwa Kweli Alifanya Ivo Kwa Miaka Miwili Amepiga Pesa Nzuri Na Kuwekeza Zake Town Na Kaz Bado...
  8. L

    Barabara Ubungo Yarekebishwa usiku kucha kwaajili ya Obama

    I Wish Km Obama Aje Mpaka Bush Kwetu My Be Tutapata Ka Lami Na Kaumeme
  9. L

    Unasafiri bila taarifa

    Tusimlaum Tu Huyo Mume Nawe Mke Heb Jichunguze Mienendo Yako Inawezekana Kuna Mambo Unayofanya Yanafanya Asikuage Pengne Hakuamin Akikuaga Unaweza Kupanga Mipango Ya Kumchakachua Ndo Mana Anakushtukiza Ili Usipate Iyo Nafas
  10. L

    Serikali yatoa tamko kuhusu polisi kupiga raia

    Mi Nadhan Pinda Na Wazir Wake Wasione Kwamba Polis Wananguvu Sana Kupita Raia Wanatukamata Sabab Tunawaheshim Na Kuheshim Sheria Ila Kwa Kauli Hiyo Ya Pnda Kwamba Wapigen Tu! Itafka Hatua Wananchi Nao Watasema Km Mbwahi Na Iwe Mbwahi Afu Ndo Ataona Kati Ya Polis Na Raia Nani Mtemi Ukizngatia...
  11. L

    Serikali yatoa tamko kuhusu polisi kupiga raia

    Mi Nadhan Pinda Na Wazir Wake Wasione Kwamba Polis Wananguvu Sana Kupita Raia Wanatukamata Sabab Tunawaheshim Na Kuheshim Sheria Ila Kwa Kauli Hiyo Ya Pnda Kwamba Wapigen Tu! Itafka Hatua Wananchi Nao Watasema Km Mbwahi Na Iwe Mbwahi Afu Ndo Ataona Kati Ya Polis Na Raia Nani Mtemi Ukizngatia...
  12. L

    kwa tabia hizi walimu mtakufa maskini

    Am a teacher na nauhakika wa kutengeneza 30elfu kila cku tofaut na salary na cku zingne zaid ya hapo MUNGU akijalia mara chache sana nimeshuka hapo unataka nikufundshe nlifanyaje?.hakuna mshahara unaotosha pia sio kwamba walim ndo wana salary ndogo kupita watumish wote wa serikal kwan hao polis...
  13. L

    Kwa wale wanaopotosha watu kuhusu mishahara ya walimu soma hapa!!

    Heb Tusubir Salary La July Ndo Jib La Kila Kitu
Back
Top Bottom