Recent content by loy26

  1. L

    Kupitia Video ya nyimbo mpya ya Davido, Diamond una cha kujifunza

    Ngoma ya davido ni sheedah!! Yaani ukiisikiliza, unatamani kuendelea kuisikiliza...... Ila akina p square ndo wametisha mzaziii, na ngoma yao ya bring it on, yaaani ni ngoma tamu kinoma aiseees, kwa aliye bado hajaisikia, pole yakeee
  2. L

    Je, ni kweli kuhusu Mombasa?

    Nahisi huyu jamaa anapenda kubakwa thus why anatafuta uhakika wa hilo jambo, Asije kupoteza nauli bure, nenda tu aisee ukajionee mwenyewe
  3. L

    Msaada: Nahisi mtoto wangu ameathirika na Runinga

    watoto wanahaki ya kupumzika, kaka mimi wala sioni sabu ya wewe kujutia uamuzi wako wa kuwafungia DStv watoto wako ilikuwa ni haki yao na umefanya hivyo kama mzazi the thing which I congratulate you. Maoni yangu ni kuwa nafikiri ushauri huu hapo juu ni mzuri mpangie ratiba tu, kuwa akitoka shule...
  4. L

    Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Lowassa wa kutangaza nia ya kugombea Urais - Arusha

    MAMBO 10 NILIYOJIFUNZA KWENYE "SANAA ZA MAONESHO" ZA LOWASSA. By Malisa GJ, 1. Asilimia zaidi ya 90% ya watu waliokuwepo uwanjani wamegharamiwa. Bodaboda walilipwa, Wanafunzi walisafirishwa, Waandishi walilipwa. Wachache walioenda kwa hiari yao walienda kushangaa tu wala sio mashabiki wa...
  5. L

    Lowassa na Mengi ukitoa nguvu ya fedha, hawawezi kujenga hoja inayooleweka

    MAMBO 10 NILIYOJIFUNZA KWENYE "SANAA ZA MAONESHO" ZA LOWASSA. By Malisa GJ, 1. Asilimia zaidi ya 90% ya watu waliokuwepo uwanjani wamegharamiwa. Bodaboda walilipwa, Wanafunzi walisafirishwa, Waandishi walilipwa. Wachache walioenda kwa hiari yao walienda kushangaa tu wala sio mashabiki wa...
  6. L

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    MAMBO 10 NILIYOJIFUNZA KWENYE "SANAA ZA MAONESHO" ZA LOWASSA. By Malisa GJ, 1. Asilimia zaidi ya 90% ya watu waliokuwepo uwanjani wamegharamiwa. Bodaboda walilipwa, Wanafunzi walisafirishwa, Waandishi walilipwa. Wachache walioenda kwa hiari yao walienda kushangaa tu wala sio mashabiki wa...
  7. L

    Le Mutuz apinga ushindi wa King Kiba dhidi ya Chibu

    KTMA zitaenda kwa Mr chibu domo, coz he deserve it
  8. L

    Picha: Mnara wa Babel, fumbo linaloishi

    Mkuu Mashaxizo, hapa nakubaliana na wewe na hili mimi niliishalizungumzia hapa; Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo Bila Kujijua!. Ila hii hoja yako ya hakuna Mungu, ni kazi ya shetani!. Mungu yupo ndio The Supreme Being!, Mwanza na Mwisho, Alfa na Omega, ambaye vitu...
Back
Top Bottom