Recent content by Lovren10

  1. Lovren10

    Uibaji wa Pesa mfuko wa PSSSF

    PSSSF Mbinu wanayotumia sasa ni kuiba tu pesa za michango
  2. Lovren10

    Uibaji wa Pesa mfuko wa PSSSF

    Nimekua nikifatilia mafao yangu pale mfuko wa PSSSF. Kuna michango ambayo kwenye statement haionekani na mwajiri alifanya process zote za kutuma na kuweka. Sasa changamoto inakuja ukienda PSSSF na ukiuliza mbona michango mingine haipo? Majibu toka PSSSF '' Hii michango mingine kuanzia February...
  3. Lovren10

    Wakazi wa kijiji cha Kitgum Uganda waitumia fursa ya Nzige kuvamia mashamba yao na kuwageuza kuwa Chakula

    Baada ya kutafuna mazao sasa kibao kimegeuka Ni zamu ya Nzige Kuliwa. Binadamu hawapendagi ujinga kabisa
  4. Lovren10

    Ubabaishaji wa mfuko wa PSSSF

    Kuunganishwa kwa mifuko ya PPF, LAPF, PSPF, GEPF n.k na kupata PSSSF limekua kaa la MOTO kwa wafanyakazi waliokua private sector na mda wa mikataba yao umekwisha. Nimekua nikifatilia sitahiki zangu tokea makataba wangu umekwisha pale PSSSF nikaambiwa kwa watu wa private wanatakiwa kuchukulia...
Back
Top Bottom