Nimekua nikifatilia mafao yangu pale mfuko wa PSSSF. Kuna michango ambayo kwenye statement haionekani na mwajiri alifanya process zote za kutuma na kuweka. Sasa changamoto inakuja ukienda PSSSF na ukiuliza mbona michango mingine haipo?
Majibu toka PSSSF '' Hii michango mingine kuanzia February...
Kuunganishwa kwa mifuko ya PPF, LAPF, PSPF, GEPF n.k na kupata PSSSF limekua kaa la MOTO kwa wafanyakazi waliokua private sector na mda wa mikataba yao umekwisha. Nimekua nikifatilia sitahiki zangu tokea makataba wangu umekwisha pale PSSSF nikaambiwa kwa watu wa private wanatakiwa kuchukulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.