Habari zenu wanasheria humu naomba mnisaidie kitu..kuna michezo hii ya wanawake "upatu" tulikua tunacheza online.Tumecheza kwa mda mrefu sana ni mchezo ambao ulikua kwa jina moja mtu unapokea 1m kila siku.Nilikua na majina mawili hivi nimecheza na kupokea baada ya kama siku 3 mbele nikakwama...
Nina diploma ya masscom na Pr nilisoma Kenya,nimefanya kazi katika media moja kwa mkataba wa miaka miwili ukaisha,sikutaka kuendelea na kazi nikaanza ujasiriamali.Kwa sasa nahitaji kazi part time ili pia nipate muda wa biashara zangu wadau naomba msaada hapo.
Sasa mbona unaongea mafumbo mafumbo tu ndugu....sema neno moja tukuelewe...watanzania wengi hawana elimu ya level yako...au umewajibu maprofessa wenzako???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.