Recent content by lovie90

  1. lovie90

    Wapi nitapata body to body massage kwa Dar?

    Nicheki kwa 0712101513 nina wadada wanaweza sana body to body massage,office yangu ipo sinza japo unaweza fatwa ulipo,karibu sana
  2. lovie90

    Msaada wa Sheria

    Habari zenu wanasheria humu naomba mnisaidie kitu..kuna michezo hii ya wanawake "upatu" tulikua tunacheza online.Tumecheza kwa mda mrefu sana ni mchezo ambao ulikua kwa jina moja mtu unapokea 1m kila siku.Nilikua na majina mawili hivi nimecheza na kupokea baada ya kama siku 3 mbele nikakwama...
  3. lovie90

    Natafuta kazi part time

    Nina diploma ya masscom na Pr nilisoma Kenya,nimefanya kazi katika media moja kwa mkataba wa miaka miwili ukaisha,sikutaka kuendelea na kazi nikaanza ujasiriamali.Kwa sasa nahitaji kazi part time ili pia nipate muda wa biashara zangu wadau naomba msaada hapo.
  4. lovie90

    Prof. Mwandosya anena ya moyoni

    Sasa mbona unaongea mafumbo mafumbo tu ndugu....sema neno moja tukuelewe...watanzania wengi hawana elimu ya level yako...au umewajibu maprofessa wenzako???
  5. lovie90

    Tathmini inaonyesha UKAWA itashinda Urais

    Natamani kuendelea kulishuhudia hili lipicha...mwenyenzi Mungu nipe uhai
  6. lovie90

    Haya mambo mengine ni hatari - Risala fupi ya marehemu CCM

    Wote wanaoenda kuzimu wala hawatapata ufufuo siku ya mwisho...wataendelea kuchomwa milele na milele
  7. lovie90

    Sheria ya mafao inasemaje kuhusu Viongozi Waziri Mkuu anapohama chama

    Wewe nawe.....kwani usipocomment itakuweje...mbona unashangaza dunia ndugu
  8. lovie90

    Msichana wa kazi anahitajika haraka

    Cheki na hii kampuni wanaitwa Housemaids_tz wacheki instagram
Back
Top Bottom