Recent content by Lovenita

  1. L

    Vyumba viwili mwenge vinahitajika

    meaning wewe una eneo zuri zaidi au
  2. L

    Vyumba viwili mwenge vinahitajika

    nahitaji vyumba viwili vya kuishi maeneo ya mwenge mlalakuwa,mpakani au savei Maji yawepo na nyumba isiwe ya wapangaji wengi pia gari ifike bajeti 100-120,000 pia kama vipo maeneo ya ubungo Maji vitafaa thank you
  3. L

    Natafuta vyumba viwili vya kupanga

    wadau natafuta vyumba viwili vya kupanga maeneo ya mwenge yanayotazamana name barabara za chuo na Sam nujoma. Maji yawepo na gari ifike bajeti yangu ni 100,000-120,000 contact 0718 587667
  4. L

    Notice kwa mpangaji

    Naomba kuuliza notice kisheria kwa mpangaji ni siku ngapi?
  5. L

    natafuta vyumba

    natafuta vyumba viwili na choo chair maeneo ya survey,mabibo hostel au Mlalakuwa visiwe bondeni gari ifike na isiwe mbali sana na barabara
  6. L

    kwa wale wanaosoma vyuo vya uuguzi

    naomba contact za mkuu wa chuo cha uuguzi korogwe, same, mbulu na kondoa kwa mwenye nazo
  7. L

    Wizara ya afya mwisho 9/11/2013.

    muitikio uko vipi mkuu na je hiyo laki nne ni kwa kozi gani
  8. L

    Unataka kujua chaguo lako wizara ya afya

    Omega G Machange certificate
  9. L

    udsm mwisho wa registration lini kwa first year?

    wadau mlioko hapo udsm bado nasaka hela ya ada nauliza mwisho wa registration ni lini?
  10. L

    Kilichonifanya niichukie udsm

    how did it happen
  11. L

    Taarifa:Hujabahatika kujua Majibu ya HESLB tupia namba yako hapa........

    The student with Index number 'S0353.0021.2004' did not secure a higher education loan for 2013/14 academic year.
  12. L

    kwa wale waliosoma BSc General UDSM msaada

    nashukuru sana ndugu yangu u deserve to be an expert sio wengine kazi kuponda tu na mimi najua umewasaidia wengi pamoja na hao asante sana kaka
  13. L

    Msaaada mniangalizie mkopo s3402/0040/2010 Nuru iddi

    The student with Index number 'S3402.0040.2010' did not secure a higher education loan for 2013/14 academic year.pole sana nuru
Back
Top Bottom