Nimekuelewa,namaanisha kuoa ya wawaruhusu tuu kua na mwanamke ifahamike tuu kuliko hivi ilivo sasa,angalau baadhi ya wakaka walio na wanawake na inajulikana kua ana mwanamke huwa wanatunza heshima zao
Nimeipenda,Mdada huyo mmeo akifuata diet inavotatikana na kumuomba mwenyez mungu afya njema he won't die soon unless iwe his destiny, my baba anaishi na huu ugonjwa na ni mwaka wa kumi na nane bado yupo hai thou afya yake haipo kamili lakin anafanya shughuli zake vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.