Recent content by lovel

  1. lovel

    Nilikuwa na wake wengi kabla sijaokoka, sasa nimeokoka. Je, niwaache?

    Mke wa kwanza ndio mke halali.... Wengine endelea kuwatunza watoto wao...wenyewe wape uhuru wakafanye yao ht km kuolewa upya
  2. lovel

    Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

    Ungeenda wewe sasa ..unaachaje mtto anaenda...ungemwambia baki nitumen mimi...sasa unaina kbs dogo anaenda we unaangalia tuu.....
  3. lovel

    DOKEZO Responded Mfumo wa kupata TIN Namba (TRA) una shida, unatengeneza mazingira ya kutoa rushwa

    Brella haina shida..ujaze tu vzr...issue TAUSI na TRA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  4. lovel

    Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

    Ndio yule white[emoji16]...ulikua unamsifiaga enzi hizo
  5. lovel

    Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

    Imekuaje tena bwana E .... Mara hii unaona ubahili...dem ushamchokaa tafuta jiran
  6. lovel

    Si niliwaambia msioe! Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?

    SHOGA AT WORK.... tushawajua..kataa ndoa wote ni mabwabwaa.
  7. lovel

    Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

    Tuliachana wkt tuna date... tena ni sababu tu za uchonganishi.....lkn sikuwah ona upendo wake ukipungua since then.na hakuwah kuacha kunipenda.. Akafight kurudi nikakubali ...hakupoteza muda akatangaza ndoa[emoji3059]...
  8. lovel

    Wapi napata Mashine za kunyolea za WAHL?

    Kkkooo.mtaa wa msimbazi...maduka kibaoo wanaouza vifaa vya saloon..i.got one.from there ya mwanangu
  9. lovel

    Ni kwamba hanipendi namfosi au??

    Matumiz na mahitaji anatoa? Km anatoa live ur life enjoy..life is short wewe
  10. lovel

    Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

    It depend mmeachana kwa sababu gani He is my husband...and having 3 kids with him[emoji38] Sioni tukiachana..his love for me is un explainable Angerud ningekataa ingekula kwangu...sijqkutana na wa kunipenda km yeye...wengi matapeli na watumiaji
  11. lovel

    Dar: Ugumu wa maisha wasababisha sikukuu ya Christmas kudorola, Makanisa yakosa sadaka

    Mahali nnako sali ..kawaida xmass panajaa saaana...ila this tym ibada kns hamna watu.....
  12. lovel

    Michelle Obama: Ndoa haina usawa wa 50/50, lazima mmoja akubali kujitoa

    Kwani hawa .wameona tu na kuwa marais hapo hapo There was life before hukooooo ..elewa mama
  13. lovel

    Dar es Salaam imekuwa ngumu, misafara ya Viongozi inatesa wananchi

    Eti jamani helicopter zina shidha gn..wapande humo
Back
Top Bottom