Kanisa la Mungu liko duniani kote, nina maana waliookoka hawapo kanisani ninapo sali tu, ila duniani kote, hivyo naweza pata mke toka popote duniani. Si amri ya 11 kuwa lazima nioe kanisani ninapo sali tu. Na si kwamba wasiookoka ni wabaya hapana. wapo wadada hawajaokoka ila wana hofu ya Mungu...