Recent content by Lotus 123

  1. L

    JamiiForums Tanzania Utabiri wangu kuhusu kipindi Hiki cha mwisho wa mwaka mpaka mwakani 2026

    Mvua itanyesha kubwa kwenye baadhi ya maeneo na kuleta maafa ,pengine uwezekano wa mvua utakuwa haba kabisa,nafaka zitaadimika,kutakuwa na kipindi kigumu. Kama una kufahamu Anza kutunza chakula mapema.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Pentekoste iliyochangamka

    Huko kwenu wanaobariki wanaume kuoana mbona husemi lolote au hayo ndio mafundisho ya Mungu,Tena mnaomba wafu !
  3. L

    JamiiForums Tanzania Kila nikilewa mke wangu anasearch kwenye wallet yangu

    Sio mwaminifu mke wako,mwanamke wa hivyo lazima awe Malaya.
  4. L

    JamiiForums Tanzania Mkataba na Shetani ni kitu kipo?

    It's real kama unataka nikusaidie ada ni millioni 6
  5. L

    JamiiForums Tanzania Hivi Sungura anataga Mayai au Anazaa? Nimeulizwa na binti aliyetoka kufanya Usaili wa ualimu hivi karibuni

    Ni sawa mkuu,watoto wengi wa 2000 hakuna wanachokifahamu chini ya jua zaidi ya udaku kwenye mitandao,kufuatilia habari za mondi na hamisa ndio role models wao,wakifika kazini wanataka kuvaa jeans na nguo za kubana.zaidi ya hayo wanafahamu sana kwenda kwa mpalange na kutoa mimba kwenye majumba ya...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Nilikopa bank Abc lakini nimeshangaa Kuna bank nyingine ndio wananikata Hilo deni,hii ipo vipi wakuu

    Takribani miaka miwili iliyopita niliomba mkopo bank abc na walinipatia kiasi hicho cha hela.jambo linalonipa shida ni kuwa access bank ndio wanaonikata deni Hilo ijapokuwa mim sijawahi kuchukua mkopo kwao
  7. L

    JamiiForums Tanzania Wakali wa location, hapa ni mkoa gani?

    Knjaro
  8. L

    JamiiForums Tanzania SMS nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu zimenistua

    House girl ana majibu mkuu
  9. L

    JamiiForums Tanzania Wana MMU nisaidieni, nifanyeje?

    Naweza kimsaidia
  10. L

    JamiiForums Tanzania Supu nilikula nao kwanini wanishike mkono?

    Hao ndio wanawake
Back
Top Bottom