Mvua itanyesha kubwa kwenye baadhi ya maeneo na kuleta maafa ,pengine uwezekano wa mvua utakuwa haba kabisa,nafaka zitaadimika,kutakuwa na kipindi kigumu.
Kama una kufahamu Anza kutunza chakula mapema.
Ni sawa mkuu,watoto wengi wa 2000 hakuna wanachokifahamu chini ya jua zaidi ya udaku kwenye mitandao,kufuatilia habari za mondi na hamisa ndio role models wao,wakifika kazini wanataka kuvaa jeans na nguo za kubana.zaidi ya hayo wanafahamu sana kwenda kwa mpalange na kutoa mimba kwenye majumba ya...
Takribani miaka miwili iliyopita niliomba mkopo bank abc na walinipatia kiasi hicho cha hela.jambo linalonipa shida ni kuwa access bank ndio wanaonikata deni Hilo ijapokuwa mim sijawahi kuchukua mkopo kwao
Achana na maisha ya watu,kama hawakudhuru achana nao,hata wewe Kuna mambo mengi ya kipuuzi unafanya.mimi Huwa nabeti ila sinywi pombe,sivuti sigara Wala kuwa na michepuko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.