Mbona naona ni kinyume matarijio yako wewe Bashite namna 2?! Ccm wangejua wasingedhubutu kuweka milonjo yao kwenye uchaguzi huu. Watafyekwa kama majani.
Bollen Ngeti kada mtiifu wa ccm anaandika kuhusu Rambirambi Arusha
WANA CCM wenzangu, hiki tunachokifanya hakina baraka za Allah/Mungu/Yehova/ Nyasaye kabisa. Hebu tulitafakari maana sidhani kama ni ubinadamu. Huu ni utapeli ndugu zangu tusiunge mkono hata kama nia ni njema kiasi gani...
Ccm itakufa sio kwa sababu tu haijaleta maendeleo Bali hata kwa sababu ya ubabe wa viongozi wake, wanajifanya wanajua kuliko wananchi waliotoa kura zao. Wanaona kuwa ccm imefunga ndoa isiyo na talaka na nchi hii au kama vile wamepata hati - kama ni hati miliki nayo inaweza kubatilizwa pia...
Mtoa mada ni msanii kama wasanii wa kawaida wanaojua kuigiza. Ila tafauti ya huyu ni kwamba anatafuta kiki ya kupita. Wamemshindwa Lowassa kwa kila njia wamemtafuta kila upande kila njia kila kona lkn wamemkosa sasa wameaanza misengwe mwingine.
Duh! Huyu kada wa chadema kweli - angalia basi mnapotakualharisha miharo yenu kumbukeni makosa madogomadogo yanaweza kudis-qualify post zenu. Magamba ndiyo wenye makada, sisi tuna Makamanda hivyo uliyepost ni Kada wa ccm ulitaka kupenyeza uharo wako.
CDM ya sasa mliouzoea. CDM ya sasa...
Kweli ukiwa na shibe hujui shida ya mwenye njaa. Kweli leo ngunia LA Mahindi shilingi laki mbili na wala hazipatikani bado tunasema serikali inafanya kazi. Kweli Mungu anawaona ninyi.
Lakini pia mtukufu sana huyu anatakiwa kujua kuwa watu wengi wanaoishi kijijini ndiyo waliompa kura na sio...
Huyu atakuwa amkutwa na jambo kati ya haya:
1) ametishiwa kutekwa
2) amegundua kuwa bashite ni ndugu yake
3) Koromije inamhusu
4) buku saba kashampitia
5) kapewa kazi ya kudeki njoo cha bashite
6) au hamnazo tu.
Kwa hiyo msameheeni tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.