Yuko wapi mbunge wa Segerea wakati huu wananchi wako wanateketea?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,820
Hali ya maisha katika jimbo la segerea imebadilika wananchi wanaotokea jimbo hili wanatekea na wamekosa mtetezi wa kuwatetea tunavyozungumza sasa

1.maeneo ya kata ya buguruni, mnyamani, tabata relini, vingunguti, kipawa, uwanja wa ndege hadi tunavyozungumza hadi sasa asilimia kubwa wananchi wanalala njee na wengine wamekosa makazi kutokana na bomoa bomoa iliyotokea hivi majuzi....

2.mpaka sasa kuna watu wameshapoteza maisha kwa ajiri ya presha ya kubomolewa.

Wakati figisu figisu hii ya bomoa bomoa ikitokea jimbo la segerea huko katika jimbo la KINONDONI NA JIMBO LA KIBAMBA .

Mbunge maulidi mtulia wa cuf na john mnyika wa chadema napongeza kwa kuwa walikwenda mahakamani kupinga na kuzuia na kufungua kesi wananchi wao wasibomolewe. .. ....

Wakati mnyika na mtulia wakipambana huku jimbo la segerea mbunge wetu bonna kalua kama yupo kimya hata kuwatembelea wananchi wake kutoa hata pole au kuwapa moyo.

Wana jf maombi yenu juu ya jimbo la segereaa
 
Mbunge wenu wa Segerea yupo Sweden..
Kwenye page yake ya IG anarusha rusha mapicha jinsi anavyoendelea na matembezi yake huko Sweden.
Jamani ivi ina maana taarifa uko alipo kuhusu kinachoendelea jimbo la segerea hajasikia kweli

Hivi haya mateso wanayopata wakazi wanaotokea kata ya buguruni, mnyamani, vingunguti, tabata, tabata relini, kipawa waliovunjiwa nyumba zao ina maana hakupewa taarifa . .....

Watu huku wanakufa na presha, watu wanalala njee,wengine wamekosa paakwendaa.

Yaani mkuu ukifika kuanzia barharesa relini kuelekea goms au kuelekea segerea ukiwa umepanda treni ya mwakiembee utawaonea huruma jinsi watu walivyovunjiwa

Yaani angalau hata mbunge angewatembelea wapate FARAJA lakini wapiii huku ni kilioo tuu na majonzi
 
Jamani, msimpe mzigo mnyamwezi wakati alipaswa mzaramo aubebe. Mbunge atafanya nini??
Mbunge atafanya nini???

Jamani mbona mnyika na mtulia waliwatetea wananchi wao hadi kupeleka kesi mahakamani.
 
Jamani ivi ina maana taarifa uko alipo kuhusu kinachoendelea jimbo la segerea hajasikia kweli

Hivi haya mateso wanayopata wakazi wanaotokea kata ya buguruni, mnyamani, vingunguti, tabata, tabata relini, kipawa waliovunjiwa nyumba zao ina maana hakupewa taarifa . .....

Watu huku wanakufa na presha, watu wanalala njee,wengine wamekosa paakwendaa.

Yaani mkuu ukifika kuanzia barharesa relini kuelekea goms au kuelekea segerea ukiwa umepanda treni ya mwakiembee utawaonea huruma jinsi watu walivyovunjiwa

Yaani angalau hata mbunge angewatembelea wapate FARAJA lakini wapiii huku ni kilioo tuu na majonzi
Mkuu naielewa hiyo kadhia waliyoipata hao ndg zetu.
 
Kwani mbunge wa segerea ni chama gani???

Yupo Uholanzi kwa sasa anakula bata Dada Bona
Aiseee kama yupo uholanzi wakati huku wananchi wake wanateseka

Nashidwa hata nizungumze kitu gani kwa sababu kipindi cha kampeni za nyumba kwa nyumba, walifanya mikutano ya hadhara,
Akatoa ushawishi watu wampigie kura na kumchaguaaaa. Na watu wamemchagua lakini kwa yanayotokea jimboni sijui kama ana taarifa au laaa
 
Aiseee kama yupo uholanzi wakati huku wananchi wake wanateseka

Nashidwa hata nizungumze kitu gani kwa sababu kipindi cha kampeni za nyumba kwa nyumba, walifanya mikutano ya hadhara,
Akatoa ushawishi watu wampigie kura na kumchaguaaaa. Na watu wamemchagua lakini kwa yanayotokea jimboni sijui kama ana taarifa au laaa
Sasa kama aliwashawishi mkamchagua kwanini mnamlaumu??
 
Raha ya siku moja inasahaulisha machungu ya muda mrefu, kosa la mara moja linachafua mazuri mengi yaliyotangulia. Tafakari chukua hatua
 
Back
Top Bottom