Recent content by lostone

  1. L

    Vyuo vya kati vya Afya

    Dirisha lipo wazi fungua website ya nactvet utapata maelezo yote au angalia chuo unachotaka kuaply
  2. L

    Nikitaka kujiunga UTT Amis ni lazima niende ofisini kwao?

    Ndio ni lazima Kuna fomu za kujaza pale japo unaweza kujisajili kupitia *150*82# au app Yao but utaweza kuweka pesa tu ila ishu za kumfatilia maendleo ya vipande vyako na ukitaka kutoa itakua ngumu
  3. L

    Msaada jinsi ya kuondoa taarifa zilizojazwa kimakosa Ajira Portal kipengele cha Academic Qualifications

    Sometimes unatuma malalamiko yako kupitia email Yao,au ukishindwa kama una access ya kwenda ofisi zao inakua ni rahisi zaidi
  4. L

    Msaada: Sifa gani zinahitajika kwa mwenye Degree ya Ualimu wa Math & Physics kuomba ajira serikalini?

    Ajira pekee ambazo zinategemea ufaulu wa GPA ni zinazohusu kufundisha vyuo lectures hao tutors huku kwengine ni soko huria inatagmea na bahati yako tu plus maandalizi story ni nyingi ila ukweli na uhalisia ni tofaut wew muhim andaa cv vyeti viandae vipigwe muhuri wa mwanasheria jisajili...
  5. L

    Msaada kuhusu HESLB, Maisha magumu hela hakuna boom hawaweki

    Ushauri nje ya box tafuta kaujasiriamali kokote kakufanya mzee tumia talent au angalia uhitaji apo mzee chuoni unless maisha yatazidi kua magumu
  6. L

    Karma Haipo, Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini

    Kuna jambo lipo hivi....tujaribu kuwaza hao wanaotenda ubaya dhulma Kuna eneo la pili husaidia watu na huo upande wanaonekana ni malaika so sisi waliotudhulum tukiwaombea mabaya Kuna upande wanaombew mema...then hata sisi ambao tunatendew ubaya Kuna angle pia tunafanya mazito ya kuumizan
  7. L

    KERO Baadhi ya Wanachuo UDOM hawajapata pesa za kujikimu kwa sababu taarifa zao hazijatumwa kwenda Bodi ya Mikopo

    Kila siku serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu zinatoa pongezi Kwa mama juu ya swala zima la kupewa mikopo inapokuja hoja kama hiyo ya kukosa pesa za kujikimu ni kipengele Sasa Kam viongozi wenu ambao walipaswa kuwapigania ndo wamelamba asali muendelee kuvumilia mvumilivu hula mbivu
  8. L

    Muuguzi mwenye Bachelor ni course gani za masters nzuri kusoma

    Inategemea pia kama unasoma unataka kuendleza ujuzi hospital au unataka kufanya ishu za uongozi
  9. L

    Muuguzi mwenye Bachelor ni course gani za masters nzuri kusoma

    Kuna anaesthesia, clinical pharmacology,
  10. L

    Nimekosa chuo naomba ushauri

    Shida ya loan board kiuhalisia wanafanya biashara kichaa wanakopesha pesa hazirudi Kwa wakati now Kuna ishu ya wote wapate mikopo that's why ni ngumu kupata asilimia 100 au kupata tu asilimia chache serikali ijitafakari Kun namna waliopata mikop wangezingatiwa kwenye ajira za serikali pesa ya...
  11. L

    Nimekosa chuo naomba ushauri

    Shida ni ushindani mkubwa vyuo vya serikali lakini kama ungeaply kozi tofaut na MD ungetoboa muhas wana AUDIOLOGY and speech therapy pathology pia Kuna radiology,au pharmacy,,,pia Kuna chuo kama suza na st Francis jipe muda kuaply mwakani ndoto yako isiishie kati then Kuna scholarship za Chinese...
  12. L

    Kibali cha ajira Kwa walimu 4000 wa biashara jambo Lina ukakasi

    Raisi Samia katoa kibali cha ajira 400 Kwa walimu wa biashara ambao watatumia mtaala mpya katika kufundisha masomo ya biashara lengo kubwa ni kutatua tatizo la ajira je 1.wahitimu wa hayo masomo ya biashara wataaminiwa na kupewa mikopo na taasisi za fedha kama watahitaji iyo mikopo? 2.kuna...
  13. L

    Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

    Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwapa zawadi ya Tsh. milioni 700 Taifa Stars baada ya Tanzania kufuzu AFCON 2025 ambayo michezo yake itachezwa Morocco. Akiongea na Wachezaji wa Stars Jijini Dar es aalaam leo November 19,2024, Waziri Ndumbaro amesema “Rais Samia alikuwa...
  14. L

    Full funded scholarships in China

    Sifa kubwa ni umri below 25 Kwa bachelor kama mtu kazidi apo?
Back
Top Bottom